Inakuwaje taasisi kubwa kama hii eti haina Form za kujiunga uanachama hasa kwa waliopo mikoani? Aibu kwenu, mnamtia aibu Rais. Na bahati mbaya hata kwenye website yenu haipo.
Aibu sana
Ni hatari makini salama, wapiga kura hao wawekewa alama ya X ili kupisha barabara (sio barabara kuu) ni barabara ya ndani.
Wananchi hao wanyonge wamebambikiziwa kesi ya kujenga bila hati wakati ni eneo la Squata kisa muwekezaji mmoja ameomba njia ya mkato Ku fika kiwandani kwake.
Hii ni...
Wakati Serikali inaintroduce tozo za vati kwenyewe utalii kuna waliobeza Tozo ya vati kwenyewe utalii.Sasa Lema sijui ataongea nini maana kaprove wrong!!! Aibuuu sana Kwa makampuni ya utalii yaliyobeza tozo hiyo na kusema inaenda kuua utalii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.