Hatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe unaweza kuingia chaka.
Muda pia ulikuwa mwingi mno kutokana na aina ya maswali yaliyokuwepo,maswali...
Mkuu unaweza kutoa dokezo ya uovu alioufanya yule Bi Mkubwa,maana nilisikia kung'oka kwake ni kwa kustaafu,kumbe behind the scene kuna mazito ,toa dokezo tafadhali...
Bima ya Afya ipo na mfuko wa hifadhi pia upo,na Commission kwa kila akaunti unayofungua ipo,kuliko kusugua mtaani kama mtu hana kazi inayoweza kumuingizia zaidi ya kipato hicho ni bora akapige mzigo...
Kuna jamaa[emoji1465] alipost kua anahitaji 20k [emoji383] ana dharula. Watu wakasoma [emoji102] na kupuuzia isipokua dada moja tu ambaye alimfuata DM na kumtumia 50k [emoji383].
Kumbe yule jamaa alikua tajiri akizuga tu, basi akamzawadia yule dada gari [emoji593] jipya. Anyway kwa kifupi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.