Recent content by AMARII

  1. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii tayari imekufa... A dead on arrival project. Dangote atawalaani sana kelele za kunyaland zimesababisha akakosa Tanga refinery.
  2. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Msasani peninsula
  3. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Fala kweli wewe! Unapanua mdomo tu bila fact
  4. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapo ni wapi na AI imetumika wapi!? Watu wa mombasa wana shida sana kwa kweli ..
  5. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Dar inapendezaaa..
  6. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Vipi Gormahia hukoo!?? Hoi taabani... Kwenye zizi la ng'ombe kasarani
  7. AMARII

    JamiiForums Tanzania Leo nimegundua kitu kimoja, kuvuka barabara si kitu kidogo!

    Kuna uzembe mkubwa sana na umeshakomaa kwa Sasa hivi. Kuja kuutatua kutaleta tena kelele na watu wanaosaka kura ndio hawapendi hizoo... Kuacha hali ya kwenye zebra crossing, kuna hizi njia za pembeni za watembea kwa miguu. Hizi nazo sio salama Tena! Watembea kwa miguu mjini hawana mtetezi...
  8. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Uganda atapewa Finale... Unajua opening ndio mashindano yenyewe. Ukiboronga hapo ndio unaharibu mashindano yote. Sasa kwa uzoefu wa kuandaa na vibes la mashabiki, miundombinu na factors zote bhas Tanzania inakamata nafasi ya juu kuliko wengine.
  9. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mpaka Sasa Tanzania ndio wana uhakika wa kuchezesha game kubwa moja ya nusu fainali. Na hapo ndio tunasubiria tena Either opening au closing... Sana sana tutapewa opening. Na tarehe 14 September ndio watatamgaza nani ata host kituo Cha kurushia matangazo Cha pamoja. Na hii ipia itakuwa pale...
  10. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kazi kwa TISEZA hii, kama jinsi wanavyoweka vivutio kwa wawekezaji kwenye mambo ya Kodi na kuwapatia maeneo ya uwekezaji na kutafuta vibali, hii package ya Umeme waitumie pia . Kwa heavy industry na hasa viwanda vipya ambayo vitazalisha bidhaa ambazo hazipo kabisa hapa bhas wanaweza kuweka Bei...
  11. AMARII

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa mfano Rais ghafla akapoteza maisha nchi inaongozwaje

    Kete inakwenda kwa Jaji Mkuu, maana tayari hapo Kuna mvurugano kwa Rais na Makamu... Na kama hali itakuwa haina utulivu ni kumuachia CDF tu hapo.
  12. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huko watalii wameambiwa wanywe maji tu. Wakigusa pombe bhas wajue ni fake fake from nairobi river.
  13. AMARII

    JamiiForums Tanzania Japo bado siamini, hadi itolewe na taarifa ya Ikulu, ila kama ni kweli, basi VP tumpe mkwe ili 2030 awe na VP wake yule binti yetu, 2040 binti apokee

    Header ya barua na address zinachanganya kweli kweli... Na imma ni mtu wa michezo michezo kweli. Anyway, let's wait and see.
  14. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Eeh ndio mmechokana na kasongo namna hiyo mnataka atumie hizo flying coffins ili akienda ndio aendagee kabisa?
  15. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mambo ya kusonga ugali huku mboga unategemea kwa jirani. Na jirani mwenyewe hata hujamshirikisha mpango wako... Utaishia kula ugali mkavuu tuu..
Back
Top Bottom