Kuna uzembe mkubwa sana na umeshakomaa kwa Sasa hivi. Kuja kuutatua kutaleta tena kelele na watu wanaosaka kura ndio hawapendi hizoo...
Kuacha hali ya kwenye zebra crossing, kuna hizi njia za pembeni za watembea kwa miguu. Hizi nazo sio salama Tena! Watembea kwa miguu mjini hawana mtetezi...
Uganda atapewa Finale...
Unajua opening ndio mashindano yenyewe. Ukiboronga hapo ndio unaharibu mashindano yote. Sasa kwa uzoefu wa kuandaa na vibes la mashabiki, miundombinu na factors zote bhas Tanzania inakamata nafasi ya juu kuliko wengine.
Mpaka Sasa Tanzania ndio wana uhakika wa kuchezesha game kubwa moja ya nusu fainali. Na hapo ndio tunasubiria tena Either opening au closing... Sana sana tutapewa opening.
Na tarehe 14 September ndio watatamgaza nani ata host kituo Cha kurushia matangazo Cha pamoja. Na hii ipia itakuwa pale...
Kazi kwa TISEZA hii, kama jinsi wanavyoweka vivutio kwa wawekezaji kwenye mambo ya Kodi na kuwapatia maeneo ya uwekezaji na kutafuta vibali, hii package ya Umeme waitumie pia .
Kwa heavy industry na hasa viwanda vipya ambayo vitazalisha bidhaa ambazo hazipo kabisa hapa bhas wanaweza kuweka Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.