Recent content by AMARII

  1. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa hata wewe ungekuwa wa kike si ungetaka mume wa Bongo? Dada zenu wanakimbia njaa huko wanakuja Bongo kula maisha.
  2. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa kama hamuwezi kuwashughulikia dada zenu vizuri si ndio lazima tuwasaidie!? Au hiyo nayo hamtaki?
  3. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sijajua... Sema hata mzee wake alipinga kinoma yale mahusiano. Alikuwa anatoka binti yake apate mwanaume wa kunyaland.
  4. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    😅😅..sio refinery tuu... Tunabeba kila kitu.
  5. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wakunyaa wako Kilgoris kushuhudia mtoto wa Kibongo akichukua kombe mbele yao.. Ng'ombe sana hawa jamaa... Mafala sana hata dada zao hawawataki.. 😅
  6. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Your almost there... Louderrrrrr
  7. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Louder
  8. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hahaha you can say that louder if it make you go orgasm
  9. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii habari ya Tanga refinery ni maumivu Hadi kwa Dangote. Sio kwa wakunya tu. Imagine Jana Dangote amepokea jopo la mawaziri na maofisa waandamizi wengi team ya kutosha kutoka TZ. Hapo naamini Dangote alikaa mkao wa kula... Akijua mpango wa refinery upo na ndio anabembelezwaa... Wakati...
  10. AMARII

    JamiiForums Tanzania Hakuna kikundi kinachopiga hela za kutosha kama bodaboda, ni basi tu wengi wao ni vijana wadogo wanaondekeza starehe

    Wale wa delivery Kkoo na mjini kati huko Daslam wanapata Hadi 100k per day. Hapo na kwa mama nyumbani ameshatuma ya kutolea anakuta msosi tayari.
  11. AMARII

    JamiiForums Tanzania Nikipata hela lazima nitamiliki pisi kali

    Yakobo 4:3. Hiyo ni hakika na kweli kwa waamini tu.
  12. AMARII

    JamiiForums Tanzania Ukanda wa kimara ( Ubungo mpaka Mbezi Mwisho) Tatizo ni nini?

    Ndio sehemu pekee ya kukaa Kimara kwa Sasa hivi hiyo. Nakutana na wadau hapo ... Ila Kimara Ina watu wake wamezoea kumaliza mambo yao viduka vya Mangi.. Kwenye kuzururaa huko gaza nakuwaga Hawaii au hapo TTG
  13. AMARII

    JamiiForums Tanzania Ukanda wa kimara ( Ubungo mpaka Mbezi Mwisho) Tatizo ni nini?

    Anajenga malls hapo... Anapandisha Hadi Kiota pendwa TTG ndio bye bye. Nadhani sitakuwa na sababu ya kukanyaga tena pande hizo...
  14. AMARII

    JamiiForums Tanzania Ukanda wa kimara ( Ubungo mpaka Mbezi Mwisho) Tatizo ni nini?

    Mchina kachukua maeneo Kimara korogwe hapo tayari ame anza kupandisha malls.
  15. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ng'ombe ya gatundu
Back
Top Bottom