Hii habari ya Tanga refinery ni maumivu Hadi kwa Dangote. Sio kwa wakunya tu.
Imagine Jana Dangote amepokea jopo la mawaziri na maofisa waandamizi wengi team ya kutosha kutoka TZ. Hapo naamini Dangote alikaa mkao wa kula... Akijua mpango wa refinery upo na ndio anabembelezwaa... Wakati...
Ndio sehemu pekee ya kukaa Kimara kwa Sasa hivi hiyo. Nakutana na wadau hapo ... Ila Kimara Ina watu wake wamezoea kumaliza mambo yao viduka vya Mangi..
Kwenye kuzururaa huko gaza nakuwaga Hawaii au hapo TTG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.