Recent content by AMARII

  1. AMARII

    JamiiForums Tanzania Nimeokoka ila nashindwa kuacha kununua Malaya na kunywa pombe

    Kunywa pombe mbele ya watu wako wa karibu na watu wa huko ulokoleni... Watongoze wadada wa huko kwenye makutaniko.. sio uwatongozee maana kutongoza haujuii... Wawekee dau nono la kulala nao... Tangaza dau kwa kila Binti hapoo... Wewe unaishi kikondoo kumbe Simba halafu unataka usaidizi...
  2. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapa lazima wanunue na kulipia AZAM decoder ili waweze kufaidi match zote za world cup.
  3. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TAHARUKI KENYA: Raia avamia jukwaa la Rais William Ruto akiwa anahutubia Kilifi. Je, usalama wa Rais una udhaifu?

    Outer ring security detail ime fail pakubwa na hakuna coordination kabisa ndio maana uvamizi wote umefika Hadi kwenye inner ring... Of which ni kama wamefikia target.
  4. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mambo yakienda kama mpango huu ulivyo maana yake hata hiyo mombasa haitajulikana tena. Nimeona Rwanda wameamua kuhamia bandari ya Tanga completely kwa mizigo ya ya import na export. Ndio maana yule dalali Kasongo alileta hadithi ya kuunganisha Reli yao ya makaa ya mawe ifike Hadi Singida ili...
  5. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii ya kuongeza Gati inatakiwa waharakishe kabisa... Sio jambo la uhitaji Tena... Ni ishu ya lazima. Nimeongea na wadau wa bandari wanasema kontena zinakuja kwa wingi sana kuliko kawaida. Na export yetu ni ndogo kwa hiyo maghala ya kuhifadhi makasha matupu yote yamejaa! Hivyo pia ni advantage...
  6. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Oneni hii ng'ombe inavyokuja kinyume nyume ikiwa uchi! hivi huogopi?! Last time I checked, TZ na kunyaland zote ziko uchumi wa kati. Tofauti tu ni kunyaland kuna njaa Kali na Bongo kuna neema za kutosha.
  7. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwanini unataka akupatie data za developed countries wakati hapa ni issue ya kunyaland government kutegemea local banks kwa mikopo na kusababisha sekta za ndani kushindwa kushamiri maana haziwezi kuwa na dhamana kama serikali!? Focus na kunyaland, mambo ya developed countries achana nayo.
  8. AMARII

    JamiiForums Tanzania Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Kwa kujiteteaa... Eti Bar kuna michongo! Michongo gani hiyo!? Yani ukienda Bar tu kunywa tayari unakutana na michongo huko? Labda kama ni appointment ya mchongo ndio unaweza kwenda bar mkafanya meeting na kuweka mipango.. then unagusa mbili tatu na kupotea. Ila kuingia bar daily ati kisa...
  9. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa kuwa non NATO ally inakusaidia Nini nywele ngumu? Huko mandera watu wanauliwa tu hao KDF na NATO wamefanya Nini? Hii ni discussion ya wakubwa... Wewe mtu wa chiwawa na muratina huko kirinyaga hauwezi kuelewa... Wewe endelea tu na cheap cheap zako huku ukiendelea ku fantasize life ya USA
  10. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tupe kwanza report ya mikataba iliyopigwa saini hapa kwenye pichaaa... And mind you, the same with Biden agreement at the eleventh hour... The same will happen to macron ink as next year he will be ousted in office and new regime with new policy will take over.
  11. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kasongo amejaza mamluki wa kumshangilia kama vile mikatano yake na vijembe anavyopigana na bwana Gachagua
  12. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kenge wanataka kujipa umuhimu na kuweka shobo kwenye vitu vya watu.
  13. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kabisa, gharama za kujenga Bomba hilo ni kubwa... Walinunua gesi Hadi gharama zije kurudi ni mbali... Bado tutaendelea kuwapa nguvu ya kutusumbua. Kama wanashida na bomba sana... Wajenge tu kwa gharama zao. Tutawapatia eneo na ulinzi. Inatosha kabisa.
  14. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Bado wana maumivu ya kukosa Bomba la UG.. so wanatafuta namna yoyote ya ku force kufaidi. Hapo Dangote akijenga Tanga ndio Kasongo aseme alikubali iwe hivyo umuhimu wake uonekane... Hapo ni kwamba Dangote akija ni mazungumzo Yana anza upya na terms mpya... Kama hataki arudi mombasa tu . Na...
  15. AMARII

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yani watakuja kulia vibaya hawa kenge wa north.. Kasongo kaambiwa refinery itajengwa msa ila ahakikishe anatimiza masharti.. kitu ambacho hataweza! Na Dangote kashasema mpira upo kwa Kasongo atakachosema yeye hana shidaa.. we all know Kasongo ameshasema anataka refinery ijengwe wapiii😂
Back
Top Bottom