Kunywa pombe mbele ya watu wako wa karibu na watu wa huko ulokoleni... Watongoze wadada wa huko kwenye makutaniko.. sio uwatongozee maana kutongoza haujuii... Wawekee dau nono la kulala nao... Tangaza dau kwa kila Binti hapoo...
Wewe unaishi kikondoo kumbe Simba halafu unataka usaidizi...
Outer ring security detail ime fail pakubwa na hakuna coordination kabisa ndio maana uvamizi wote umefika Hadi kwenye inner ring... Of which ni kama wamefikia target.
Mambo yakienda kama mpango huu ulivyo maana yake hata hiyo mombasa haitajulikana tena.
Nimeona Rwanda wameamua kuhamia bandari ya Tanga completely kwa mizigo ya ya import na export. Ndio maana yule dalali Kasongo alileta hadithi ya kuunganisha Reli yao ya makaa ya mawe ifike Hadi Singida ili...
Hii ya kuongeza Gati inatakiwa waharakishe kabisa... Sio jambo la uhitaji Tena... Ni ishu ya lazima.
Nimeongea na wadau wa bandari wanasema kontena zinakuja kwa wingi sana kuliko kawaida. Na export yetu ni ndogo kwa hiyo maghala ya kuhifadhi makasha matupu yote yamejaa! Hivyo pia ni advantage...
Oneni hii ng'ombe inavyokuja kinyume nyume ikiwa uchi! hivi huogopi?!
Last time I checked, TZ na kunyaland zote ziko uchumi wa kati. Tofauti tu ni kunyaland kuna njaa Kali na Bongo kuna neema za kutosha.
Kwanini unataka akupatie data za developed countries wakati hapa ni issue ya kunyaland government kutegemea local banks kwa mikopo na kusababisha sekta za ndani kushindwa kushamiri maana haziwezi kuwa na dhamana kama serikali!?
Focus na kunyaland, mambo ya developed countries achana nayo.
Kwa kujiteteaa... Eti Bar kuna michongo! Michongo gani hiyo!? Yani ukienda Bar tu kunywa tayari unakutana na michongo huko?
Labda kama ni appointment ya mchongo ndio unaweza kwenda bar mkafanya meeting na kuweka mipango.. then unagusa mbili tatu na kupotea.
Ila kuingia bar daily ati kisa...
Sasa kuwa non NATO ally inakusaidia Nini nywele ngumu? Huko mandera watu wanauliwa tu hao KDF na NATO wamefanya Nini?
Hii ni discussion ya wakubwa... Wewe mtu wa chiwawa na muratina huko kirinyaga hauwezi kuelewa... Wewe endelea tu na cheap cheap zako huku ukiendelea ku fantasize life ya USA
Tupe kwanza report ya mikataba iliyopigwa saini hapa kwenye pichaaa...
And mind you, the same with Biden agreement at the eleventh hour... The same will happen to macron ink as next year he will be ousted in office and new regime with new policy will take over.
Kabisa, gharama za kujenga Bomba hilo ni kubwa... Walinunua gesi Hadi gharama zije kurudi ni mbali... Bado tutaendelea kuwapa nguvu ya kutusumbua.
Kama wanashida na bomba sana... Wajenge tu kwa gharama zao. Tutawapatia eneo na ulinzi. Inatosha kabisa.
Bado wana maumivu ya kukosa Bomba la UG.. so wanatafuta namna yoyote ya ku force kufaidi.
Hapo Dangote akijenga Tanga ndio Kasongo aseme alikubali iwe hivyo umuhimu wake uonekane... Hapo ni kwamba Dangote akija ni mazungumzo Yana anza upya na terms mpya... Kama hataki arudi mombasa tu .
Na...
Yani watakuja kulia vibaya hawa kenge wa north..
Kasongo kaambiwa refinery itajengwa msa ila ahakikishe anatimiza masharti.. kitu ambacho hataweza!
Na Dangote kashasema mpira upo kwa Kasongo atakachosema yeye hana shidaa.. we all know Kasongo ameshasema anataka refinery ijengwe wapiii😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.