Recent content by Amanilewei

  1. Amanilewei

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kimsingi mimi nililazimika kufungua akaunti NMB kwa sababu taasisi niliyokuwa nafanyia kazi ilikuwa na akaunti NMB hivyo kupata malipo kwetu sisi tuliokuwa benki nyingine ilikuwa shida. Nilipata uhamisho na kadi yangu ya ATM iliisha muda wake na ikatumwa kwa tawi nililofungulia. Imekuwa...
  2. Amanilewei

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Show me just what Muhammad brought that was new and there you will find things only evil and inhuman, such as his command to spread by the sword the faith he preached.[5]
  3. Amanilewei

    Tatizo sio mashine za EFD bali mfumo wa kodi unaotumika

    Kwa issue ya VAT, mfanyabiashara anakuwa tu "agent " wa TRA ila siyo muathirika wa kodi hiyo. Kimsingi, mlaji wa mwisho ndiyo hubeba mzigo wote wa kodi kwa sbb hana ujanja wa kushift hiyo burden. Mwisho wa mwezi mfanyabiashara hucompute output na input tax na mwisho wake hupata kodi i.e. VAT ya...
  4. Amanilewei

    Kampuni 15 zashindwa kulipa kodi za kontena 329 zilizotoroshwa katika Bandari Kavu ya Azam

    People should know that kudeclare mali na madeni kwa watumishi hakujaanza leo. Mwajiriwa yeyote wa Mamlaka hutakiwa kutangaza mali zake pindi akiajiriwa na kila mwisho wa mwaka. Ifahamike pia kwamba assets declaration haimzuii mtumishi kuaccumulate mali maadam amezipata kihalali.
  5. Amanilewei

    Kampuni 15 zashindwa kulipa kodi za kontena 329 zilizotoroshwa katika Bandari Kavu ya Azam

    Naamini kutajwa kwa kampuni zilizolipa na zile ambazo hazijalipa lingekuwa jambo jema kwa maana ya uwazi. Pia kwa kufanya hivyo kutazifanya kampuni zenye tabia ya ukwepaji kuacha kwa kuhofu kwamba zitatangazwa kwa umma na hivyo kuharibu image yao.
  6. Amanilewei

    Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

    Tatizo kubwa lililopo ni matumizi ya EFD machines. Kuna scenario mbili; Kukey in amount kidogo ili kuonesha mashine inatumika na kutoitumia kabisa. Tatizo hili litapungua pale ambapo Watanzania i.e. mfanyabiashara na mnunuzi watakapoona na kufahamu umuhimu wa kodi. Ikifikia ikawa fahari kulipa...
  7. Amanilewei

    Msaada jinsi ya kutoa mkanda kwenye samsung smart tv ua40f6400

    Mwaka jana nilinununua tv aina ya Samsung SMART TV UA40F6400 nje ya nchi. Tatizo ambalo limeendelea kunikera na nimeshindwa kulipatia jibu ni ule mkanda unaozunguka ukionesha Smart Hub, Voice Control, Clean View, Social, Dual Core. Mkanda huo huzunguka juu, pembeni na juu. Hali hii wakati...
  8. Amanilewei

    UKAWA hamkujipanga kwa ajili ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba

    Leo tulitegemea Mgombea urais wa UKAWA angemwaga vipaumbele vyao lakini imekuwa tofauti na matarajio ya wengi. Kwa mtaji huu, Dr. Magufuli atapata ushindi mzuri tu hapo Oktoba 25, 2015.
  9. Amanilewei

    Lowassa akodishiwa ndege maalum na wafadhili wake, Yagharimu mamilioni!

    CCM watawaduwaza wananchi kwa chaguo lao kama walivyomduwaza Sitta kwenye Uspika. Stay tuned.
Back
Top Bottom