Recent content by Amani94

  1. Amani94

    Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Iyo kozi bora uapply police tu
  2. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Swala la msingi sana copro
  3. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Yote maisha Duniani tunapita tu, chamsingi chakula kiwepo
  4. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Aisee, kumbe kugangamala kwenyewe ndo huku blaza
  5. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Daah, kwamba yale yakwenye movie unaenda kuyafanya live kabisa
  6. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Zatanesco abebe nani bhana,, abeg abeg tutagoma tuuuu Haki za binadam zipo
  7. Amani94

    Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

    Kumbe kuna ya baridi nayamoto, wadau mpo speed sana hehehe
  8. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Sifa uvumilivu au sio, sema nini, sikunaile coy ya wagonjwa!!?, tunajichomeka tu mzazi
  9. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Chini ya utawala wa mama mh. Dr samia suluhu hassan hatutakiwi kuteswa hivi kaka Magogo tena , mbona ghafla sana
  10. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kwani kwenye mafunzo watu hawalali!!!!?, Minajua mnakimbia asubuhi baada ya apo minaingia kwenye kwata, sindio!
  11. Amani94

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    We unakitu utafika mbali sana
Back
Top Bottom