Recent content by AMANI MWALWENGELE

  1. A

    Natafuta nafasi ya Kazi, nina shahada ya Ualimu

    Nimesomea Geography na kiswahili ndugu yangu.
  2. A

    Natafuta nafasi ya Kazi, nina shahada ya Ualimu

    Naitwa Amani Mwalwengele nimehitimu shahada ya ualimu chuo kikuu cha Dar es salaam (BAED) nahitaji kazi kwa yoyote mwenye kuguswa na ombi langu au ambaye anauwezo wa moja kwa moja kunipatia kazi iwe ya kufundisha au yoyote ile halali nitashukuru sana. Napatikana kwa namba 0715449165 au...
  3. A

    CHADEMA na UKAWA wataanguka vibaya sana 2020 tofauti na awamu zilizopita

    Kwani vifaru ndugu umewahi viona kupiga kura au nini wantanzania tunajiangusha wenyewe?
  4. A

    Hataki kufanya mapenzi na mimi, mwaka wa pili sasa nipo nae

    Hiyo nayo changamoto utachunwa sana usipokuwa makini ndugu.
  5. A

    Makadirio ya mapato ya Askofu Gwajima

    Wezi tu wachungaji hawa hawana lolote pumbafu.
  6. A

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    Na huo msambaratiko wa chadema unaendelea baada ya Zitto kabwe kukihama chama hicho na kuhamia ACT na kuwa kiongezi mkuu wa chama hiyo.
Back
Top Bottom