Takwimu za Tanzania zilipelekwa hivi:-
-mshahara wa doctor=tsh 800,000/=kwa mwezi.
-mshahara wa mwalimu=tsh 200,000/=kwa mwezi
-wastani wao=tsh 500,000/=kwa mwezi, ambayo ni =tsh 12,000,000/=kwa mwaka, =$8000 kwa mwaka, ikatuwakilisha watz wote!
Therefore we became safe from the bottom 20s.