Shida ya hizi taasisi za kifedha haziaminiki. Binafsi nilikwazwa na Tala. Nikalipa, kumbe hawakopeshi tena. Nimewalipa 360,000 nikitaka nikope 300,000/-. Kuanzia hapo nilikopa branch na L-pesa nami nikawadhurum bora nijiunge na saccoss za mitaani pengine likitokea la kutokea unaweza kupata haki...
Tusimshambulie Kikwete, alicho kinena ana maana kubwa japo amekosea timing. Na penyewe pengine ni sawa kwani angeongea kabla hata tusingelichukulia maanani.
Kauli yake inamlenga yeyote iwe kwa makusudi au bila kutarajia siasa kutumika kwenye dini ina matokeo ya aina nyingi.
Mheshimiwa Kikwete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.