Je kuna mtu au pengine wewe umesoma degree ya electrical engineering ukakosa ajira au ukasota mtaan?.Nauliza hivyo kwa maana kuna dogo anataka aende kusoma electrical engineering mwakani mwaka huu alipata agricultural engineering anadai haina ajira, so kapostpond ili aje kuchukua electrical...
Je kuna mtu au pengine wewe umesoma degree ya electrical engineering ukakosa ajira au ukasota mtaan?.Nauliza hivyo kwa maana kuna dogo anataka aende kusoma electrical engineering mwakani mwaka huu alipata agricultural engineering anadai haina ajira, so kapostpond ili aje kuchukua electrical...
OK thanks,ila vipi kuhusu kutumia bridge network haitasababisha kukosekana kwa network kwenye guest os? Maana kuna sehemu nilisoma wakawa wanasema ni vizur kutumia NAT
Habarini wanajamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji msaada kwa yeyote anayejua au mwenye uzoefu na server za Linux.Shida yangu kubwa ni kwamba niinstall Ubuntu server kwenye pc yangu kutumia virtual box shida nahitaji kujua nitapataje IP address ya server yangu n
Habari wanajamii Mimi ni mwanafunzi wa mambo ya programming sasa naombeni ushauri nimetengeneza full system ya medical store ambayo unaweza kuuzia dawa
Kati ya faida ambazo unaweza kupata katika system hii ni kukusaidia kama duka lako linpata faida au la,kukumbusha kutoa dawa zilo expire.Sasa...
Habari wanajamii Mimi ni mwanafunzi katika chuo flan hapa dar es salaam Nimetengeneza software kwa ajili ya duka LA dawa,hii itakusaidia yafuatayo
Kama kunadawa ndani ya duka zinakaribia kuisha muda wa matumizi Itakupa taarifa.
Kuweza kuelewa thamani halisi ya dawa ulizo nazo ndani ya duka...
Habari zenu wanajamii, kuna baadhi ya watu hubeza juhudi za serikali ya awamu ya tano ambayo no ya viwanda,lakini kimsingi tumepiga hatua sana tazama hiyo machine iliyotengenezwa na watanzania,wale wanaoendelea kubeza shauri zao ila sisi tunasonga mbele
Note: mods msibadilishe content ya thread...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.