Recent content by Aman bigili Mahellah

  1. A

    Jinsi Rais Magufuli anavyowanyoosha Wazungu, Vibaraka wao wahaha kila kona

    Niandike na Mimi kwenye orodha hiyo ya vibaraka, Ukosoaji upo kila mahali, Hapo ndipo mnapo nishangaza watanzania, Mkosoaji kuitwa kibaraka, Kumbuka hata wewe bado tuanaamini kuwa ni kibaraka na unatumika kwa upande huo uliko, kibaraka siyo lazima awe yule anayetumiwa na watu wa nje tuuuuu
  2. A

    Jinsi Rais Magufuli anavyowanyoosha Wazungu, Vibaraka wao wahaha kila kona

    Hana nguvu hiyo ukitaka kujua hayo kamuulize Mugabe
  3. A

    Zitto na Fatma Karume wanaunga mkono tamko la EU na wameshiriki kulisambaza

    Hatutaki dicteter ship acheni mambo ya yoga,yapo mambo yatabaki kuwa chukizo, Hakuna mtu anyependa kuishi gerezani kama mhalifu, halafu mtu mwingine anasimama kujisifia kwenye majukwaa na kujisifia, kuwafanyia wenzake hayo
  4. A

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Siamini hata kidogo kuwa mtu unakuwa mtumishi kwa miaka 60 halafu unastaafu huku hujui matumizi ya hela tena za kwako, Kitendo tunachofanyiwa ni dharau,
  5. A

    Askofu Himidi Sanga(Iringa): Waraka utakaosomwa Makanisani siku ya Pasaka ni wa kitume

    Lakini hata watawala hawakuambiwa,kukandamiza wengine au waue watu
  6. A

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Hawa watu wanao wachafua maaskofu wanasali wapi ? Kwa nini wachungaji wasiwatenge waende wakasali CCM ?
  7. A

    Jeshi la Polisi: Abdul Nondo alijiteka na kujisafirisha mwenyewe mpaka Iringa. Ladai alifuata mapenzi

    Nondo mbona hapewi nafasi ya kusema alivyo jiteka, hivi yule alikutwa kwenye nyumba ya kuhifadhia maiti (Mortuary) naye alijiteka !!!!!
  8. A

    Gazeti hili hawana habari nyingine zaidi ya hii siku mbili mfululizo?

    Ukitaka waandike unachokitaka, wausifie Ufalme wako anzisha gazeti lako
  9. A

    Jicho la mwewe lamnanga Zitto ...yeye auchuna!

    Hakuna shule isiyo na msongamano Tanzania sijui hata kama Zitto anao week wa kutoa fedha kwa shule zote zilizoko shuleni Hata ukienda kwa Waziri mkuu tatizo hilo lipo, Clouds toka wavamiwe wana matatizo ukiangali na kuwachunguza kwa mbaaaaaali,utayaona !!!!
  10. A

    Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

    Ndani ya nchi hii hakuna siku kura ya mwananchi wa kawaida itatakapo fikia inamuweka madarakani RAIS kwa mifumo ya uchaguzi iliyopo, Kwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi wote ni wateule wa Raisi hata ungekuwa wewe au Mimi siwezi kukuteua kama Mkurugenzi, nikakupa mamlaka ya kusimamia kura zinazo...
Back
Top Bottom