Niandike na Mimi kwenye orodha hiyo ya vibaraka,
Ukosoaji upo kila mahali, Hapo ndipo mnapo nishangaza watanzania, Mkosoaji kuitwa kibaraka, Kumbuka hata wewe bado tuanaamini kuwa ni kibaraka na unatumika kwa upande huo uliko, kibaraka siyo lazima awe yule anayetumiwa na watu wa nje tuuuuu
Hatutaki dicteter ship acheni mambo ya yoga,yapo mambo yatabaki kuwa chukizo, Hakuna mtu anyependa kuishi gerezani kama mhalifu, halafu mtu mwingine anasimama kujisifia kwenye majukwaa na kujisifia, kuwafanyia wenzake hayo
Siamini hata kidogo kuwa mtu unakuwa mtumishi kwa miaka 60 halafu unastaafu huku hujui matumizi ya hela tena za kwako,
Kitendo tunachofanyiwa ni dharau,
Hakuna shule isiyo na msongamano Tanzania sijui hata kama Zitto anao week wa kutoa fedha kwa shule zote zilizoko shuleni Hata ukienda kwa Waziri mkuu tatizo hilo lipo, Clouds toka wavamiwe wana matatizo ukiangali na kuwachunguza kwa mbaaaaaali,utayaona !!!!
Ndani ya nchi hii hakuna siku kura ya mwananchi wa kawaida itatakapo fikia inamuweka madarakani RAIS kwa mifumo ya uchaguzi iliyopo, Kwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi wote ni wateule wa Raisi hata ungekuwa wewe au Mimi siwezi kukuteua kama Mkurugenzi, nikakupa mamlaka ya kusimamia kura zinazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.