Recent content by Amajambele

  1. A

    CCM yamvua Uanachama Mzee Hassan Nassor Moyo

    Haki yake, alicheleweshwa huyu, aliitafuta hi cku nyingi
  2. A

    Edward Lowassa: Mwanasiasa, mchapakazi, mfanyabiashara anayetabasamu!

    Kinachomsumbua na kumfanya Lowassa anuke kisiasa, si ufisadi wa Richmond. Ni mzimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Ufisadi huu wa Richmond ni cha mtoto, ni sawa na tone la maji ndani ya Bahari. Ndiyo maana alijaribiwa kupewa uwaziri mkuu ukamshinda kwa sababu ya mzimu huo wa Mwalimu...
  3. A

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Yericko anahitaji kuelimishwa, maana hata huko Kalenga kwenye Makumbusho ya Mkwawa hajawahi kufika, na wala hajui Kalenga kijiografia iko wapi katika nchi hii. Aelimishwe tu!
  4. A

    Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

    Acheni wivu ule aliowahi kukemea Msekwa alipokuwa Spika!!! Kwani hujui kama hata kampuni ya simu za mkononi ya Zantel kwa sasa iko mikononi mwake?
  5. A

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Azimio la Arusha hilo ndilo lilitudumaza kimaendeleo baada ya kutaifisha nyumba, shule na viwanda vya kina Patel
  6. A

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Wakati mwingine, Watanzania tunajirudisha nyuma wenyewe. Azimio la Arusha lilitaifisha majumba yote hayo ya kina Remtula na Patel na kuwafanya kina Dewji waogope kujenga tena nyumba. Bwana Msajili wa Nyumba aliyekabidhiwa nyumba hizo za kina Remtula na Patel, akashindwa kujenga nyumba mpya...
  7. A

    Mbowe kung'olewa Hai na mwenyekiti wa UVCCM Arusha Mjini

    kwenye jimbo la upinzani hakuna utaratibu, ni jaramba tu mwanzo mwisho
  8. A

    Kwa nini bei ya mafuta Tunduru iko juu kuliko maeneo mengine nchini?

    Eneo la Tunduru liko katika mpaka wa Tanzania na Zambia. Wakati bei elikezi ya mafuta aina ya petroli iliyotangazwa na Ewura hivi karibuni katika vituo vyote vya mafuta nchini ni kati ya Sh 1,700 na 1,800 kwa lita, kwa Tunduru mambo ni tofauti. Karibu vituo vyote vya mafuta katika eneo hilo...
  9. A

    Mwigulu asalimu amri kwa Kinana, asitisha ziara zake

    Hivi ugomvi wa kinana na mwigulu unawahusu nini ukawa? wenzako wakigombana, chukua jembe ukalime!
Back
Top Bottom