Usipende kutumia make up zitakazo kualibu urembo wako badaye na acha ubaili kwa kununua make up fake kwa urembo wako utaumia
Na usipende kubandika kope bali tafuta mascara zitakazo kuza kope zako zipo ndugu yangu.
Kama kweli unapenda urembo wako jitoe kuugaramikia na kuchagua make up zilizo...
Kwani ulikuwa unatumia dawa hiyo Mara nyingi na pia unapenda kuziwekea conditioner
Na ushauli wangu ndani ya mwezi mmoja jitaidi kukaa na mtindo wiki 2 na hizo 2 zinazo baki fanyia stimin na kaa bila kusuka ukingoja wiki 2 zipite.
Nywele ni matunzo ndugu yangu unaweza kuona unanywele nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.