Recent content by alyusuph

  1. A

    Hatimaye Tanzania yapiga kura Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel

    Biblia imekuwepo tangu miaka kama ya 150 BCE hivi. Taifa la Israel lilikuwa established 1948.
  2. A

    Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

    Tanesco's problem are deep rooted into mismanagement. The current problems are a result of years of neglect up to lower levels. Electric installations are shoddy, materials are stolen or misplaced. The result is constant power disconnections which lead to lower revenue collections -this is all a...
  3. A

    Serikali imesema ina mpango wa kununua ndege nne mpya kwa ajili ya usafiri wa abiria

    CS series zinazotengenezwa sasa hivi zipo kwenye class tofauti kabisa na Boeing Max. Ni ndege ndogo zaidi. CS500 ambayo bado ipo kwenye makaratasi na uwezekano wa kuitengeneza ni mdogo kwa sasa kwasababu ya ukata wa Bombardier ndiyo itakuwa kwenye class ya Boeing 738 max. lakini kumbuka kuwa...
  4. A

    Serikali imesema ina mpango wa kununua ndege nne mpya kwa ajili ya usafiri wa abiria

    ATCL wana business strategy ipi? Mashirika ya ndege hununua ndege kuendana na strategy zao. Je tunataka ATCL iwe ni domestic carrier? Iunganishe mikoa na wilaya zetu? Kazi ambayo inayofanywa na PrecisionAir vizuri. Tungependa ATCL iwe regional carrier? Au tunataka mkakati wetu wa ATCL uendane...
  5. A

    M-pesa imenisababisha nifukuzwe na mama mwenye nyumba siitaki tena

    Mimi ni mwanachama wa JF tangu 2006 hivi (kama sijakosea), si mchangiaji sana wa jukwaa hili. Lakini hili limenigusa na nimeone napaswa kuchangia. Mwenzetu huyu angekuwa anatuma pesa ya faini mahakamani basi ndiyo kifungo hicho, kwasababu ya uzembe wa mpesa. Kutokana na umuhimu wa sekta hii...
  6. A

    Chainsaw: Mashine ya kuchania na kuangushia magogo

    Mkuu una kibali cha umiliki? Hizi mashine ni moto Zilipigwa marufuku
  7. A

    Fastjet ni kero tupu!

    whilst I am not the spokesperson of fastjet, I would like to warn all those who travel with LCCs that these companies make profits from 1) no frills services,2) lighter aircraft by being strict on luggage, filling aircraft with the fuel at the best take off weight possible (therefore save fuel)...
  8. A

    Tanzanian Banks Swift Codes

    Hii information itasaidia wengi wetu. Je ni wapi ninaweza kupata Bank and Branch codes? Am I asking too much?
Back
Top Bottom