95% Warabu na wahindi wanaishi na familia zao na huoni wake zao kugombana na wakwe zao wanawaheshimu hata kwa hali Yoyote na wanakubali lawama ttzo lipo kwetu waswahili hatuna uvumilivu na wake zetu hawana uvumilivu akilaumiwa kidgo na mkwee wake basi usiku akija mume hapatishi
Tatizo Sisi wabongo hatujuwi sheria ndio mana tunatapeliwa sana sasa Kama nimepanga nyumba haina chumba za kumwaga maji ndani nimwage wapi Kama sio njee hizi ni kesi za kuwarushia wenye nyumba ili wajengne chemba sii tunakupa kodi zao
Mkuu Kama wewe hupo serikalini basi fanya juhudi na kizazi chako kijeekuingia serikalini na Kama wewe sio mchezaji wa mpira basi fanya juhudi kizazi chako kiingie kwenye timu za mpira afu ndio utajuwa kwann watanznia tumekua wajinga na haya mambo kwa saiv ni mabaya haya kwa sababu wanaofanya...
Duuh! Hakika Mungu anakupenda na inakulazimu ukatoe sadaka tu
Maji ya bahari ama swimming ukienda chini mara 3 basi huwezi kuwa hai tena
Majii baridii ya swimming ni hatari zaid kuwa kuliko maji bahari
Shukuru mungu mungu
Me nahisi hayo ndio maumbile yako na hakuna aibu Kama umeumbwa hivyo hata ukaimuwa kufanya tiba bado ttzo lotarudi tu
Really me naweza maliza week 1 au zaid bila kupiga mswaki na meno bado yako safi wala kinywa hakitoi harufu coz sijapata lalamiko lolotekwa wafu so piga mwaki tu inatosha mungu...
Kwahiyo ndio mana wazanbr wakija na biashara Tanzania bara wanalipa kodi ila Tanzania bara wakipeleka biashara zanbr free
Ndio mana zanzibar mtu akija na gari lake kutembea nalo Tanzania bara wanalipa kodi kubwa ila mkenya,Zambia na nch jirani wanaingia kwa kodi ndogo Kama kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.