Mkuu mi naungana nawewe, hapa UKAWA wamepigwa goli la kisigino halafu wao wanashangilia na mimeno nje kuwa wameshinda.
Katiba mpya HAIKUWA kwenye ilani ya CCM. Na mara tu baada ya uchaguzi wa 2010 wakati vuguvugu la kudai katiba mpya likipamba moto bungeni, Mwanasheria Mkuu, Pamoja na Waziri wa...
Sugu ameingizwa choo cha kike kichwa kichwa.... Eti mtetezi wa wasanii, hapohapo anatumika kummaliza mtetezi wa vitendo wa wasanii. Bahati mbaya sana, Sugu haelewi hizi concepts kama conflict of interest sio blanket concepts,...na Zitto analijua hilo ndio maana ameruhusu CAG afanye uchunguzi...
Nadhani unamaanisha "caveat" au zuio la kisheria. Hiyo nyumba kama ina hati. Hiyo hati iwekewe "caveat". Kwa kufanya hivyo biashara hapo itasimama mpaka hilo zuio litakapo pata ufumbuzi.
Mimi binafsi sioni Tatizo kwenye hoja za Prof. Shivji.
Ukiwa kaka mkubwa hutakiwi kulilia pipi Sawa na wadogo zako.
Tanganyika ni Sawa na kaka mkubwa, Kama ilivyokua England kwenye United Kingdom.
vinchi vidogo vote kwa kuogopa kumezwa na England, walipigania devolution, na kupewa Mabunge...
Mimi binafsi sioni Tatizo kwenye hoja za Prof. Shivji.
Ukiwa kaka mkubwa hutakiwi kulilia pipi Sawa na wadogo zako.
Tanganyika ni Sawa na kaka mkubwa, Kama ilivyokua England kwenye United Kingdom.
vinchi vidogo vote kwa kuogopa kumezwa na England, walipigania devolution, na kupewa Mabunge...
Mkuu nakubaliana nawewe asilimia 100%. Kuna baadhi ya watu hawajui kwamba pale hazina kuna Phd's za kutosha tu za kufanya hayo maprojectios magumu ya ajabu. Waziri anahitaji uelewa wa kawaida juu ya hiyo wizara ili mambo yaende.
Wenzetu South Africa ambayo ni nchi yenye uchumi imara kiasi cha...
Musipotoshe kwa kumsingizia Mwalimu Nyerere uimla wa Mzee Mtei. Mwalimu aliweka options on the table. Either fulani apewe nchi au yeye ajitoe uanachama wa CCM. Mwalimu hakuwahi kufanya CCM kama mali yake binafsi. Huyu mzee ameteleza.
http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/africaandindianocean/democraticrepublicofcongo/10417909/DR-Congo-M23-rebels-close-to-defeat-after-US-and-Britain-urge-Rwanda-to-stay-out.html
Patamu hapo... sasa sijui author wa hii article ataitwa "Interahamwe" and "Genocider"...
Naona na bwana mdogo...
Watu hawajui kuwa hawa Al shabab ni magaidi waliobobea na si kila mfanya mazoezi porini ni Alshabab. Mungu atuepushe na vita ya hawa jamaa. Mtiti wao tutapeleka jeshi zima kama walivyofanya Westgate Kenya.
Navy Seals ni highest grade ya makomandoo wa US na wenyewe waligeuza kwa moto...
Mkuu Le Mutuz.
Hoja yako imepotezwa na lugha ya dharau, kashfa na chuki iliyo dhahiri kwa uislam kwa kupitia Sheikh Ponda kama scapegoat.
Kama ungekua umemfatilia Ponda kwa kipindi kirefu kama unavyojaribu kujipa hiyo sifa basi ni dhahiri ungejua anachosimamia na nani ndiye mkorofi kati ya...
http://www.inyenyerinews.org/politiki/letter-from-the-north-paul-kagame-treated-for-bipolar-disorder/
Huyu jamaa PK sio mzima. Ana "grandiose delusions" sababu ya huo ugonjwa wake wa bipolar disorder...
No wonder anajiona kama Superman flani.
Naona its high time serikali ya JMT imwambie categorically Paul Kageme kwamba. Should anything happen to harm the President of Tanzania, it will equate to an automatic Declaration of War and that TPDF will launch a full assault on Kigali.
Unless a clarify the statement ya I WILL HIT YOU...
Kwa hiyo wewe ulitaka Rais Kagame aendelee tu kutukana nchi yetu bila kujibiwa kwa kuhofia malawi na kenya. Hii akili ya wapi?
Kijana kumbuka Rais ni taasisi na symbol muhimu ya nchi. Urais sio necessarily JMK. Haiwezekani mtu wa nje akawa anaikejeli taasisi nyeti kila siku bila kujibiwa kwa...
Waache waendelee zao. Kwanza hatuna ulazima wa kuwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kagame na Museveni. Sasa JK anatakiwa afanye mkutano wa haraka na Congo DRC, Burundi na Tanzania ili kuanzisha Trans Africa Alliance ya kuanzia Atlantic Ocean to Indian Ocean. Congo DRC na Tanzania zinaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.