Hivi Dola inakuwa na rais?

Hivi Dola inakuwa na rais?

Mimi binafsi sioni Tatizo kwenye hoja za Prof. Shivji.

Ukiwa kaka mkubwa hutakiwi kulilia pipi Sawa na wadogo zako.

Tanganyika ni Sawa na kaka mkubwa, Kama ilivyokua England kwenye United Kingdom.

vinchi vidogo vote kwa kuogopa kumezwa na England, walipigania devolution, na kupewa Mabunge Yao, bendera zao, Alama zao za utaifa, timu zao za taifa, wimbo wa taifa pamoja na katiba zao, kasoro England tu Ndio inatumia bendera ya union jack na serikali United Kingdom, Hakuna serikali ya England.

Nchi zote nyingine Kama Wales, Scotland, na Northern Ireland wana hivyo vitu vya utaifa. Na wana First ministers ambao Kama Scotland anateua cabinet yake na wanakua na Bunge Lao wao tu, na Huku baadhi Yao wanaingia Bunge la U.K na kuwatungia sheria wananchi wa England.

kwa Kiasi Kama Zanzibar na Tanzania.

kifupi U.K Nako wana mambo ya Muungano na yasiyokua ya Muungano. Ingawa England kutokana na ukubwa na world position yake, hagombei nayeye kupewa serikali yake. Mambo mengine ni kujishusha kutaka kugombea pipi na mdogo wetu wa mwisho anayelialia kila kukicha nchi ya Zanzibar.
 
Shivji hana lolote kasajiriwa na CCM kama master of deception, ni mzanzibar anaejaribu kuzuia Tanganyika isirudi wakati huo akifurahia uwepo wa Zanzibar kama nchi, kuizuia Tanganyika sasa ni sawa na kuzuia maji kwa nyavu.
 
Mimi binafsi sioni Tatizo kwenye hoja za Prof. Shivji.

Ukiwa kaka mkubwa hutakiwi kulilia pipi Sawa na wadogo zako.

Tanganyika ni Sawa na kaka mkubwa, Kama ilivyokua England kwenye United Kingdom.

vinchi vidogo vote kwa kuogopa kumezwa na England, walipigania devolution, na kupewa Mabunge Yao, bendera zao, Alama zao za utaifa, timu zao za taifa, wimbo wa taifa pamoja na katiba zao, kasoro England tu Ndio inatumia bendera ya union jack na serikali United Kingdom, Hakuna serikali ya England.

Nchi zote nyingine Kama Wales, Scotland, na Northern Ireland wana hivyo vitu vya utaifa. Na wana First ministers ambao Kama Scotland anateua cabinet yake na wanakua na Bunge Lao wao tu, na Huku baadhi Yao wanaingia Bunge la U.K na kuwatungia sheria wananchi wa England.

kwa Kiasi Kama Zanzibar na Tanzania.

kifupi U.K Nako wana mambo ya Muungano na yasiyokua ya Muungano. Ingawa England kutokana na ukubwa na world position yake, hagombei nayeye kupewa serikali yake. Mambo mengine ni kujishusha kutaka kugombea pipi na mdogo wetu wa mwisho anayelialia kila kukicha nchi ya Zanzibar.

Je,Wales,Scotland na hiyo Northen Ireland zina mawaziri wakuu?Binafsi sina uhakika ndio maana nimeuliza.
 
Mimi binafsi sioni Tatizo kwenye hoja za Prof. Shivji.

Ukiwa kaka mkubwa hutakiwi kulilia pipi Sawa na wadogo zako.

Tanganyika ni Sawa na kaka mkubwa, Kama ilivyokua England kwenye United Kingdom.

vinchi vidogo vote kwa kuogopa kumezwa na England, walipigania devolution, na kupewa Mabunge Yao, bendera zao, Alama zao za utaifa, timu zao za taifa, wimbo wa taifa pamoja na katiba zao, kasoro England tu Ndio inatumia bendera ya union jack na serikali United Kingdom, Hakuna serikali ya England.

Nchi zote nyingine Kama Wales, Scotland, na Northern Ireland wana hivyo vitu vya utaifa. Na wana First ministers ambao Kama Scotland anateua cabinet yake na wanakua na Bunge Lao wao tu, na Huku baadhi Yao wanaingia Bunge la U.K na kuwatungia sheria wananchi wa England.

kwa Kiasi Kama Zanzibar na Tanzania.

kifupi U.K Nako wana mambo ya Muungano na yasiyokua ya Muungano. Ingawa England kutokana na ukubwa na world position yake, hagombei nayeye kupewa serikali yake. Mambo mengine ni kujishusha kutaka kugombea pipi na mdogo wetu wa mwisho anayelialia kila kukicha nchi ya Zanzibar.

Scotland wana banki yao na huwa na print pound zao.
Mafuta yao
Wapo nato
Wapo EU
Wana waziri mkuu
Kama uingereza
Na waziri mkuu wa england ni sawa na wa uk wote wapo chini ya Malkia
Ulichosahau ireland imejitos na scotland inapiga kura kujitoa. Wala hujaona england wakitishia kupeleka jeshi.
Mkuu zanzibar imebanwa na haiwezi kamwe kutika katika lindi la umaskini katika mfumo huu.
Katiba yote hili la muungano lina shida..upande mmoja unafilisika na upande wa pili hawapendi kuona wenzao nao wanapiga hatua na kujitegemea. Haya mambo ndo yalopelekea scotland kutaka kujitoa basi hatupati funzo
 
Kuna watu wana Fikra nyepesi sana , kwao mtu kuwa na mawazo tofauti na waliyo nayo wao maana yake ni kununuliwa au kutumiwa.
Prof Shivji yupo sahihi kabisa kwa maoni yangu. Ni kweli kabisa Tanzania ni nchi Moja yenye Dola mbili. Marekani ni Nchi moja yenye Dola zaidi ya 50. Msihadaike na jina Rais wa Zanzibar kiasi cha kuanza kuuliza Illogical Question eti mbona Marekani ina Rais mmoja, Mkileta hoja hizo tunaweza tukawauliza mbona shirikisho la Mpira Marekani linaongozwa na Mwenyekiti wakati shirikisho kama hilo hapa Bongo linaongozwa na Rais wa TFF japo nguvu na mamlaka yao ni sawa?

Mkuu wa Dola ya California ni Governor Anold Schwarzneger wakati Mkuu wa Dola ya Zanzibar ni Rais Shein wote Mamlaka yao yanatambuliwa ndani ya nchi zao si zaidi ya hapo na ndio maana hukuti Balozi wa California kama vile ambavyo hukuti Balozi wa Zanzibar. Rais wa Zazibar hatambuliwi hata na Taasisi za Kimataifa sasa nyie mtuambie kuna Taifa gani Duniani halitambuliwi na nchi hata mmoja? kama Zanzibar ni nchi kwa Maana ya Sovereighn iweje u sovereigh huo hauonekani zaidi ya Visiwa vya Pemba na Unguja?
 
Tatizo la kufanya mambo kisanii ndio hilo. Hata uwe na shahada na uzoefu wa aina gani, usiposimamia mambo kwa uhalisia, ukweli, na facts, na badala yake ukafanya kisanii ili kuridhisha baadhi ya makundi ni lazima utajichanganya - haiepukiki. Muungano wa USA kuufananisha na wa Tz wapi na wapi? USA ni nchi moja, Rais mmoja, majimbo mengi (53) under the same sovereign state.

Inachopendekeza Rasimu ya Warioba ni kuelekea muungano sawa na wa USA kwamba tuwe na nchi moja (Tanzania), chini ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu mmoja na majimbo mawili (Tanganyika na Zanzibar) kama yalivyo ya USA. Sijui kwanini wasomi wazima wanashindwa kuona hilo.

Weye muongo, tume imependekeza serikali 3, Maraisi 3 wawili wanakusanya mapato kumuwezesha mmoja (Amiri jeshi) Hii ni hatari. USA Ina raisi mmoja, wengine ni maseneta. katiba moja, majimbo yameachiwa uhuru wa kutunga sheria na kodi inakusanywa na Federal Government. Tume ya uchaguzi moja ya FG ndio inasimamia uchaguzi wa senetors na raisi
 
Naomba wanasheria na wataalamu wengine mtusaidie katika hili na itakuwa vizuri mtupe mifano ya hizo state au dola zenye maraisi.

Mimi navyojua state(dola) inakuwa na governor au kiongozi mwingine lakini sio raisi.

Wanasheria na wataalamu tunaomba mtupe darasa juu ya hili.

Vile vile sio vibaya tukapata definition halisi na ya kitaalamu juu ya dola(state).

NB:Huu ni mjadala unaojitegema kabisa hivyo tuwe makini.

Mkuu mfano mzuri ni waingereza (United Kingdom), kule Uskochi wanaongozwa na First Minister, twaweza kusema ni kama raisi kwa sababu yeye ni kiongozi mkuu wa nchi chini ya Malkia wakati kama taifa kiujumla liko chini ya Prime Minister au Premier wa England. Kwa hiyo swala aliloongea Shivji nadhani badoyuko sahihi, na ameeleza vizuri tu.
 
Mkuu mfano mzuri ni waingereza (United Kingdom), kule Uskochi wanaongozwa na First Minister, twaweza kusema ni kama raisi kwa sababu yeye ni kiongozi mkuu wa nchi chini ya Malkia wakati kama taifa kiujumla liko chini ya Prime Minister au Premier wa England. Kwa hiyo swala aliloongea Shivji nadhani badoyuko sahihi, na ameeleza vizuri tu.

Sawa, lakini kumbuka ni First Minister na siyo Prime Minister

Sasa hapa wa Zanzibar ni raisi na wa Jamuhuri ni raisi!

Je,hapo tunafanana?!
 
Na kuupanua zaidi mjadala, je Marekani zile 'states' zinazoiunda USA ni 'dola'? Na ni vipi UK?

Muundo wa UK ni tafauti kwa sababu kuna malkia ingawa nchi inaendeshwa na serikali ambayo iko chini ya prime minister, UK hakuna rais. Hata hivyo wales, scotland na northern ireland (ambao ndio wanaounda UK) nao pia katika serikali zao wana prime minister ingawa mara nyingi wanaitwa first minister, lakini majukumu yao katika nchi zao ni ya u-prime minister
 
km kilaza mbona kazaa na mamaako?au unajifanya umesahau? au ukilaza umekuja coz yeye ni mzenji?chuki tu, mtakufa na vijiba vya roho

UVCCM bhana kweli mmekuwa vipofu wa fikra hoja ikiwashinda mnakimbilia matusi.
 
Ahsante sana Prof. Shivji leo umeweka wazi kila kitu, umefungua akili za walio wengi, hata hapa jukwaani sentensi ni ngumu kuandika kwa maana hiyo wameelewa.

Mmelipa sh.ngapi kwa kazi mliyomtuama? Kachemka hakuna mfano
 
Back
Top Bottom