Recent content by ALWATAN KIZIGO

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kizimkazi Festival 2026: Tamasha Linalogeuza Utamaduni Kuwa Nguvu ya Maendeleo

    * Kizimkazi Festival 2026 imeendelea kuthibitisha kwamba tamasha linaweza kuwa zaidi ya burudani. Ni jukwaa la kuunganisha utamaduni, utalii, uwekezaji, biashara na maendeleo ya wananchi. Likibeba kaulimbiu “Kizimkazi Kumenoga!”, tamasha la mwaka huu limekuja katika wakati muhimu wa kuonyesha...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe na mkewe warudisha kadi za CCM. Aishukuru CCM kwa mema yote iliyomtendea

    Huyu ni mfa maji atapata kura yake na ya mkewe. CCM MWENDO MDUNDO
  3. A

    JamiiForums Tanzania Lindi: Rais Magufuli ametoa Shilingi Milioni 340 kwa ajili ya kukarabati mradi mkubwa wa maji safi

    Rais Mh.Dr.John Pombe Magufuli ametoa Shilingi Milioni 340 kwa ajili ya kukarabati mradi mkubwa wa maji safi na salama utakaohudumia vijijini vinne kwenye Kata ya Rutamba Wilayani Lindi. Ukarabati huo utahusisha ujenzi wa matanki mapya wawili yenye ujazo wa Lita laki moja kila moja...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mbowe: DC Sabaya amezuia watu kuja kwenye mikutano yangu

    Mbaazi ikikosa mvua hasingizia jua Kweli majira yanabadilika [emoji38][emoji38][emoji38] Na bado. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Introvert ni kujiendekeza tu ,ubinafsi na uchoyo.Badilikeni.Hakuna binadamu asiyependa privacy kukaa peke yake lakini nyir mmeenda extra mile acheni kujiendekeza mtakosa kuzikwa how come unajifungia ndani chumbani hupokei simu wala kupigiwa simu mtajikuta mmekufa Hadi mmeoz majirani hawajui...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Morogoro: Devota Minja (MP) aibuka kidedea, Peter Lijualikali abwagwa

    MALISA.. MINJA . MOROGORO HAWA NI WALUGURU WA WAPI ..Chadema ni ya kikabila
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mama Maria Nyerere avunja Ukimya, aungana na Vijana wazalendo kulaani kutukanwa Mwalimu

    Habari ya mwaka 2014 hiyo mnaileta leo.Manyumbu bana
  8. A

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CHADEMA amkeni kutoka usingizini hamkuzaliwa ili mpanue vidole tu

    USALITI, UNAFIKI NA UTAPELI UNAMWISHO. Nilijua iko siku vijana wa CHADEMA watagundua ni kiasi gani wanadanganywa na uongozi wao wa juu wa chama hasa MH. MWENYEKITI WA KUDUM. Hivi kwa akili ya kawada umewahi kujiuliza ww kama mwanachama wa CHADEMA. 1. Kwann wabunge wote wajitolee kila mwezi...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

    Kuwa mpinzani ni sawa na kuvaa nguo nyeupe , DOA likigusa tuuuu ni balaaa .Ni kweli wakuu fedha zimepigwa, zaidi ya 1.9 Bilioni. Wakuu ni hivi jumla ya Tsh 1.9 Bilioni, Zimekwapuliwa kwenye account ya Chama, (CHADEMA) Miezi kadhaa iliyopita. Toka jana Chama kimeshindwa kujenga hoja kabisa juu...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hakikisha kabla hujafikisha 40 unawala mademu wafuatao

    1.Baa medi na mademu unaokutana nao club 2.Mama Ntilie 3.Wanafunzi wa vyuo 4.Demu uliyekosea namba 5.Demu mliyekutana katika mitandao ya kijamii 6.Demu wa saluni 7.Demu wa rafiki yako. 8.Mpangaji mwenzako 9.Mfanyakazi mwenzako 10.Demu yoyote atakayejipendekeza we lamba tu. Ukifikisha...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Wakili Fatma Karume amshtaki Mwanaharakati Cyprian Musiba Mahakama ya Vuga, Zanzibar

    Hiyo case itapigwa chini High Court of Znz haina jurosdiction ya kusikiliza kesi ambazo cause of action imetokea Tanzania Bar.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Chuki ya Yericko Nyerere dhidi ya Zitto Kabwe ni chuki yake binafsi na sio ya CHADEMA

    zitoo Ni kirusi cha nchi.Apotezwe
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kada CCM avamiwa, acharangwa mapanga Dar

    Write your reply...Chadema wameanza ujambazi
  14. A

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kukutana na Afisa Usalama wa Taifa

    Wapo Kila mahali anaweza kuwa mkeo/mumeo,padri/mchungaji wako sheikh,mwalimu,daktari,polisi,mwanajeshi,pccb,mtendaji kata,mpishi ,machingaa.kichaa,muuza machungwa na karanga,kiongozi wa upinzani,mvuvi,Teja, mhadhiri,mwanafunzi muokota makopo,mfanya usafi jalalani, mfanyakazi wa kujitolea ofisini...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Wateule na wasaidizi, Rais aliwaheshimisha msimwangushe chapeni kazi kwa nia njema ya kulisaidia Taifa

    Augustino Chiwinga Mtama-Lindi 0659438889 Kwa kawaida huwa ni heshima iliyotukuka pale ambapo mtu anateuliwa na Mh Rais kushika madaraka katika ngazi fulani mathalani ya Mkoa,Wilaya au Halmashauri. Huwa inaonesha imani na mategemeo makubwa ambayo Rais anakuwa ameyaweka juu ya mtu huyo. Lakini...
Back
Top Bottom