ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 642
USALITI, UNAFIKI NA UTAPELI UNAMWISHO.
Nilijua iko siku vijana wa CHADEMA watagundua ni kiasi gani wanadanganywa na uongozi wao wa juu wa chama hasa MH. MWENYEKITI WA KUDUM.
Hivi kwa akili ya kawada umewahi kujiuliza ww kama mwanachama wa CHADEMA.
1. Kwann wabunge wote wajitolee kila mwezi pesa zao ili kulipa mshahara wa MBOWE.
(Kwann nae asijitolee bila malipo kama wenzie)
2. Misada, Ruzuku na michango yenu vinafanana na ofisi zenu mlizonazo?
3. Kwann kila mwaka mkichangie chama na bado mda wa kampeni mnaambiwa kuchangia kampeni?
(Huwa mnachanga pesa inakwenda wapi)
4. Mjiulize kama M/kiti haitishi uchaguzi kwa nafasi yake, je ipo siku wewe kama kijana utakua kiongozi wa ngazi hio.
5. Ama vijana wa CHADEMA mmezaliwa ili "MPANUE VIDOLE TU"
Pongezi kwenu vijana wa CHADEMA sasa mnaanza "KUPANUA FIKRA" kwa kuhoji matumizi ya.
*Matumizi ya nguvu zenu.
*Matumizi ya michango yenu.
*Matumizi ya mda wenu.
Kuelekea uchaguzi 24/11/2019, CHAGUA CCM kazi iendelee
*SISI NI SHUJAA WEREVU*
"Jasho la shujaa mwerevu ni ushindi"
Nilijua iko siku vijana wa CHADEMA watagundua ni kiasi gani wanadanganywa na uongozi wao wa juu wa chama hasa MH. MWENYEKITI WA KUDUM.
Hivi kwa akili ya kawada umewahi kujiuliza ww kama mwanachama wa CHADEMA.
1. Kwann wabunge wote wajitolee kila mwezi pesa zao ili kulipa mshahara wa MBOWE.
(Kwann nae asijitolee bila malipo kama wenzie)
2. Misada, Ruzuku na michango yenu vinafanana na ofisi zenu mlizonazo?
3. Kwann kila mwaka mkichangie chama na bado mda wa kampeni mnaambiwa kuchangia kampeni?
(Huwa mnachanga pesa inakwenda wapi)
4. Mjiulize kama M/kiti haitishi uchaguzi kwa nafasi yake, je ipo siku wewe kama kijana utakua kiongozi wa ngazi hio.
5. Ama vijana wa CHADEMA mmezaliwa ili "MPANUE VIDOLE TU"
Pongezi kwenu vijana wa CHADEMA sasa mnaanza "KUPANUA FIKRA" kwa kuhoji matumizi ya.
*Matumizi ya nguvu zenu.
*Matumizi ya michango yenu.
*Matumizi ya mda wenu.
Kuelekea uchaguzi 24/11/2019, CHAGUA CCM kazi iendelee
*SISI NI SHUJAA WEREVU*
"Jasho la shujaa mwerevu ni ushindi"