cag hayupo kwenye mapendekezo ya bunge.cag aliyekuwepo mda wake umeisha ndo maana kateuliwa juma assad ko bado hajafanya lolote katika maazimio.ucjbu bila kuelewa swali! sawa!
dah ukiona hujui k2 kiache usicomment.huu ni umbumbumbu ulioudhirisha mwenyewe kuuliza et zanzibar ni sehemu ya tanzania.hta kama una elimu kama ya lusinde co ivo.pole xana
kwanza hawakukubali wote ila wengi walisema ndio lakn hata sio walikuwepo.na maazimio ya jana mbona maswi katajwa kuwa moja kat ya watu wanaotakiwa kuwajibishwa.ila pole xana nadhan una akili ndogo kuliko ya lusinde nd asumpte.ucdhalilishe wanawake wenzio.maana hta ccm unaowatetea wameazimia ivo...
ulichosema ni kwel kabxa pinda alitakiwa kuwajibishwa kwa kosa la kusema pesa si za umma na sio kuwa fisadi katika hili nimekuona una busara.ila busara yako imepotea kwa kutukana
tatizo mnaona halafu najifanya humuoni.ndo maana wanasema ni ngumu kumuamsha m2 anayejifanya kalala kuliko aliyelala kweli.ww unajua kabisha pesa za uma zimeibwa na imethibitishwa na CAG TRA na hta PAC ambayo ilikuwa na wajumbe 19 wa ccm.na unasema wana wivu wa madaraka.badiliken watanzania...
kwa hiyo unaona ukawa wanakosea ila ccm ndo wapo sawa kulinda wezi.hakika kipofu haon mwezi.kama mwakan watagombea wa2 kama ww hili taifa halitabalika na kuendelea hta cku moja.napata shida kuona vijana kama ww wanalinda upuuzi!
mm n mmoja wa waliopita jexh 833kj oljoro.faida zpo kdogo xana kama ku2mia claha,mk up.lakn c muhimu xana kuliko kuliko hzo hela zinge2mika kuwaxomexha waliokoxa mikopo.kuna faida gan ya kujua ku2mia silaha na hku umepata chuo umexhindwa kwenda sababu huna mkopo.serikal angalie vipaumbele vya...
mkuu ucdanganye umma.kukok kila unapopiga ni kwa risasi za barid tu na hii ni kwa silaha zote hta SMG na G3.SAR ukikok mara moja kukiwa na risasi za moto unapiga mpaka risasi zote kumi ziishe ila sema haiwez kupiga bust(mfululizo ka smg) inapiga mojamoja.lakn co kukok kila unapopiga!!
dah wapo mwanang tena kuna jamaa alichagua nursing kcmc na ana 3 ya point 12 kapata ila me nina 3 ya point 11 nimekosa na tumesoma wote pcb shule moja, ko hlo ni suala la bahati tu mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.