Ndugu zangu wa JF naomba kupata uelewa zaidi ya Room 39 ya Korea ya Kaskazini. Nimejaribu kuperuzi nimepata machache tu nimeyakopy hapa chini..please mwenyewe uelewa zaidi naomba atiririke hapa....
The Room 39 is often commonly referred to as Bureau 39. It is a secretive organization in North...
Baada ya Rais JPM kukabidhi ndege Tausi kwa Wastaafu Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Na Mama Maria.
Nimejiuliza hivi ndege Tausi analiwa? Au ni mapambo tu?
Lakini pia Mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki huyu ndege? Nimeuliza maana Rais amewakabidhi hati ya umiliki kwa ndege hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.