Recent content by Alubati

  1. Alubati

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    HAta stamina ya kushikilia mpira anayo, yaani ni vigumu sana kumpokonya, diazi ni mashine ya vita, yamal kipaji halisi, sijavutiwa sana na olise naona kama mlaini hasa akikutana na beki ngumu, halafu mpira hafichi, ni rahisi kutibua au kupokonya
  2. Alubati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Hiii umechana kwa kiwango cha juu sana familia
  3. Alubati

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    EPL tangu invincibles 2004, UCL final tangu 2006 , UCL trophy sijui kama mmewahi kubeba. Lakini sasa mmetanguliza mguu mmoja kila eneo. Hongera kwenu hakika mmepambana.
  4. Alubati

    JamiiForums Tanzania Naomba usaidizi: Uume hausimami

    Wacha uzembe familia
  5. Alubati

    JamiiForums Tanzania Man City anapigwa leo na Everton! Arsenal tunatangaza ubingwa mapema!

    Kila la heri arsenal! Msimu ujao wetu sisi UTD
  6. Alubati

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Viongozi wa vyama 13 vya upinzani wapinga kuundwa kwa tume kutoka nje ya nchi ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

    Hayawahusu, wao ni machawa wa chama kikuu,wameshiriki uchaguzi na uapisho. Kila kitu kwao kilikwenda sawa hivyo wasijipenyeze kwenye maridhiano
  7. Alubati

    JamiiForums Tanzania Rais Paul Kagame kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja, atazungumza nini na Rais Samia?

    Amfundishe namna ya kufanya maridhiano baada ya machafuko yaliyosababisha vifo vya watu wengi. Kagame ana uzoefu kwa yaliyotokea Rwanda 1994 MAana tunachoona anachofanya na hao majaji wazee ni kututia hasira zaidi
  8. Alubati

    JamiiForums Tanzania Kama mshabiki wa Man Utd ni kiungo gani ungependa Man utd isajili next season?

    Naongelea huyo hapo, sema umri ndio kikwazo
  9. Alubati

    JamiiForums Tanzania Kama mshabiki wa Man Utd ni kiungo gani ungependa Man utd isajili next season?

    Walishamchukua? Basi huyo huyo anafaa
Back
Top Bottom