Recent content by Alubati

  1. Alubati

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    NAjua akili zako zilienda mbali hadi ukadindisha mochwali, hadi kufikia kuandika humu umewaza vitu vingi ambavyo hujaandika🤣🤣
  2. Alubati

    Kuna mahala wanuuza samsung A17 4gb ram/128gb kwa 380,000 wengine wanauza 500,000. Hii inaweza kuwa sababu ni nini haswa kimkakati na kimjini mjini?

    A17 zipo matoleo mawili , kuna A17 4g ina mediatek processor, na kuna A17 5g ina exynos processor. Hiyo 4g _380,000/= Hiyo 5g ni -500,000/= to 520,000/= Adapter 20 watts super fast charging - 45,000/=. 5g hazipatikani kwa wingi, nilihangaika sana.
  3. Alubati

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Ofisini kuna "mitoto" ya maana pale asee... sijui mkuu Max kawatoa wapi wale. Anyway tunaomba mrejesho wa hatua ya adhabu ya miezi mitatu ilipofikia, au masharti bado Ya kihuni kama ya bwana trump?
  4. Alubati

    Siku ukija kugundua kuwa wanawake ndiyo wanaokurudisha nyuma kimaendeleo, utakuwa umechelewa sana

    Maisha hayana formula maalumu, wengine kadri wanavyotoa ndio wanapata zaidi, unakuta we huongi lakini humfikii kipato anayehonga.
  5. Alubati

    Tuzingatie kitu gani tunapokwenda kununua simu ili tupate simu bora?

    Batterry Cappacity -5000+mah Kioo kiwe na Super Amoled Chipset iwe SnapDragon au exynos Iwe na muonekano wa kuvutia. Ram 6 , Rom 260+ Njia nazotumia,kwanza huwa naingia GSM kuangalia simu za bei rahisi ambazo zimetoka miezi michache iliyopita, nakagua sifa zake ,namna ikiwa haijafunguliwa...
  6. Alubati

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Chatgpt ni mwanangu sana , huwa tunapiga stori tunacheeka.
  7. Alubati

    Upande wa pili Wanafosi mwaliko kwanini

    Sikukuu zenyewe kila nchi inasherekea kivyake, hakuna vibe,zuberi kachana mkeka😅😅
  8. Alubati

    Nafasi ya kazi Mwalimu wa Physics

    MOSHI UFUNDI
  9. Alubati

    Unafikiri ni kipi kinafanya watu maarufu katika mitandao mingine wakija JF ni underdog?

    Nilipata tabu mwanzoni, nikasema msinitanie... nikawa napita nao kiulalo ulalo hadi nikazoea. Hakuna wa kunisumbua humu ndani😅
  10. Alubati

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    HIi ingetokea kabla ya OCT29 hapo sawa. Lakini baada ya OCT 29 heshima imepungua kwenye kila sekta nchii hii, hata ukitembelea kurasa za majeshi ya ulinzi na usalama wachangiaji wanachangia kwa matusi na kejeri tofauti na hapo kabla. Kwahiyo tunaweza kusema heshima yake ilikwisha baada ya mauaji...
  11. Alubati

    Nahisi kuambukizwa UKIMWI na mwenza wangu

    Umetomba moto😅😅
  12. Alubati

    Identification zetu JF zinaficha mengi sana

    Lakini wapo pia wenye maisha yao ya kueleweka na ni kitu cha kawaidaa kwa hii nchi, kuna dogo nimefanya nae project ya ujenzi gari yake pekee ni 110 milion ,mzee mwingine mtu mzima kidogo wanawe pekee ndio lika langu wapo kwenye 40+, ana ukwasi wa kutosha , haya kuna ma prof wawili wapo humu...
  13. Alubati

    Siku za utawala wa Ayatollah huko iran zinahesabika

    Rejea maneno yako hapo juu ,inasikitisha lakini imebidi nicheke kwa kilichotokea
Back
Top Bottom