A17 zipo matoleo mawili , kuna A17 4g ina mediatek processor, na kuna A17 5g ina exynos processor.
Hiyo 4g _380,000/=
Hiyo 5g ni -500,000/= to 520,000/=
Adapter 20 watts super fast charging - 45,000/=.
5g hazipatikani kwa wingi, nilihangaika sana.
Ofisini kuna "mitoto" ya maana pale asee... sijui mkuu Max kawatoa wapi wale.
Anyway tunaomba mrejesho wa hatua ya adhabu ya miezi mitatu ilipofikia, au masharti bado Ya kihuni kama ya bwana trump?
Batterry Cappacity -5000+mah
Kioo kiwe na Super Amoled
Chipset iwe SnapDragon au exynos
Iwe na muonekano wa kuvutia.
Ram 6 , Rom 260+
Njia nazotumia,kwanza huwa naingia GSM kuangalia simu za bei rahisi ambazo zimetoka miezi michache iliyopita, nakagua sifa zake ,namna ikiwa haijafunguliwa...
HIi ingetokea kabla ya OCT29 hapo sawa. Lakini baada ya OCT 29 heshima imepungua kwenye kila sekta nchii hii, hata ukitembelea kurasa za majeshi ya ulinzi na usalama wachangiaji wanachangia kwa matusi na kejeri tofauti na hapo kabla. Kwahiyo tunaweza kusema heshima yake ilikwisha baada ya mauaji...
Lakini wapo pia wenye maisha yao ya kueleweka na ni kitu cha kawaidaa kwa hii nchi, kuna dogo nimefanya nae project ya ujenzi gari yake pekee ni 110 milion ,mzee mwingine mtu mzima kidogo wanawe pekee ndio lika langu wapo kwenye 40+, ana ukwasi wa kutosha , haya kuna ma prof wawili wapo humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.