niseme nini sasa kawaulize kwenu lashai walokunyima kura unaniuliza mie ?umetuma vijana wakupigie debe uwaziri holaa utaishia kutapatapa na unafiki wako..dhambi ya kuwagawa wana ccm BK inakutafuna nyang'au wee
nilisubiri atakae anza danganya kuhusu hili bifu,kwanza haukua wamilamno na boys ulikua ni milambo na girls haya anza kurekebisha ulipodamganya na elezea chanzo cha ugomvi sio ulihadithiwa unaleta story za uongo nilikuwepo so hutadanganya kitu
yaani we ni muongo mwaka gani huo labda.ubabe wa kianafunzi unaweza kuwepo ila sio eti watu wabadilishe behewa kwa ajili yenu kwanza hakukua na ujinga huo tabora ,na wakati wa safari mara nyingi tabora girls ndio walokua na mabehewa ila sio boys wala milambo na behewa la girls lilikua linajaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.