Kwanini tunasema kosea kujenga sio kuoa tuna maana moja tu sisi waungwana maana ukikokosea kujenga unaweza kubomoa na haitakuchukua muda mrefu kujenga tena lakini ukikosea kuoa itakuchua muda mrefu kuoa tena katika maisha na ndio maana kuna watu wakishaachana na mwanamke itamlazimu kutokuoa kwa...
Kama sifa hizi zipo kwa wanawake wa kitanzani basi ndoa zingekuwa zinadumu lkn unakuta mwanamume anarudi nyumbani mwnamke ajaoga mpaka umulize umeshaoga atakuji bado ukimuuliza kwanini atasema nimechelewa kupika au mtoto ananisumbua sana mume wangu kwanini mwnamume asichepuke mwanamke ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.