Namshukuru Mungu kwa kuniunganisha na familia hii kubwa, nawashukuru sana wanafamilia wa mtandao huu na zaidi sana waasisi wake.
Hivi majuzi nimepokea zawadi kutoka Marekani kupitia kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA) na Mbunge wa viti maalumu Suzanne Lyimo...
Kama mwanasiasa mwenzangu nakupa pole(THE YUDA OF OUR TIMES)nilitamani nikuokoe na zomea zomea ya leo Katoro na Geita mjini.Mara kadhaa huwa nafikiri juu ya political intelligence yako na that genius in you.
Katoro ulipanic sana baada ya kuulizwa u double standard wako kwenye siasa za nchi...
Jana tukiwa Kisesa tumekamilisha jumla ya mikutano mia moja na saba tangu kuanza kwake,mafanikio ni makubwa sana kwa maana kwamba tumevuna maelfu ya wanachama na tumeimarisha chama kwa maana ya uongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa yaani misingi.
Leo tuko jimbo la Kishapu na mapambano yanasonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.