Recent content by Alphamale wa JF

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wanajipa muhimu nyie, acheni tu

    Kama huyu dogo Marry Diana anajifanyaga kama yeye ni mke mdogo wa Mello na ana hisa humu JF. Pumbavu kabisa.
  2. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Aiseeeee
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kuona mke wake corporate feminist lady kakomea watoto wawili, katafuta mchepuko form 4 kafyatua watoto wanne, ni sawa ?

    Kwanini? Mbona mi nimemzalisha watoto 5 mnyamwezi wangu?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Binafsi nipo mnene zaidi yako. Nina miaka 40's, nina urefu wa CM 186 na nilikuwa nina uzito wa 136 kg. Kimsingi, nilianza diet sasa nina 110 kg, nimeiachia hapo ila ratiba yangu ya msosi ilikuwa: 1. Maji ya moto na limao 2. Saa 6 ni ugali size ya ngumi na mboga nyingi 3. Saa 10 au 11 ni...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Ipo humu. Jamaa kaamua kuicopy na kupaste tu kwani ipo humu kitambo sana.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Hii story ipo humu mida mrefu tu.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Hii story mbona ipo humu miaka mingi. Jamaa kaamua kucopy na kupaste tu.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Baikoko, kibao kata, orgies, pool parties, kanga moja. Aisee vijana wa Dar kazi mnayo

    Niliupitia huu uzi mchana, jioni nikiwa sina kazi nitaingia huko telegram. Mungu atusaidie hali ni mbaya.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    We ni ME au KE na nije inbox kufanya nini?
  10. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Naona umeandika kwa kubold kabisa. Nimecheka. 😂😂😂😂
  11. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Haya Mkuu. Nimecheka. Kuwa na usiku mwema Mkuu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Acha maneno. Njoo inbox basi tajiri.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Njoo inbox unitumie namba yako ili nikupe namba yake. Hongera we kidume bwana.
Back
Top Bottom