Recent content by Aloysius

  1. Aloysius

    Taratibu za kumkataa msimamizi wa mirathi Mahakama ya mwanzo

    Inaelekea kwa majibu yako haya unachokitaka kwa hatua hii siyo kumkataa Msimamizi wa Mirathi, ila nikupinga namna alivyo gawanya mali pamoja pia na hukumu ya Mahakama ya Mwanzo iliyokubaliana na ugawaji huo, ndiyo maana umeshauriwa juu ya Revision. Na wasiwasi unahitaji msaada zaidi. 255 654323268
  2. Aloysius

    Mchakato wa kisheria wa kubadili jina lako

    Inawezekana akabadili kwa Affidavit kwenye kila maombi atakua anaambatanisha Affidavit. Akipata kazi atatumia jina hilo kazini.
  3. Aloysius

    Kuna sheria ya kumshitaki mbunge wako kama ni mzembe?

    Je wajua kuwa una haki ya Kumshtaki Wakili wako Mzembe Mbunge wako Je? Ni bahati mbaya kuwa wanasheria ndiyo waelimishaji washeria, hivyo basi nivigumu kukuta wanatoa elimu inayowanyooshea vidole. Kupitia mwanya huu, baadhi ya Mawakili, ambao bila shaka ni wachache wamekua Mamwinyi dhidi ya...
  4. Aloysius

    Sheria inayombana wakili anapoboronga

    Je wajua kuwa una haki ya Kumshtaki Wakili wako Mzembe Ni bahati mbaya kuwa wanasheria ndiyo waelimishaji washeria, hivyo basi nivigumu kukuta wanatoa elimu inayowanyooshea vidole. Kupitia mwanya huu, baadhi ya Mawakili, ambao bila shaka ni wachache wamekua Mamwinyi dhidi ya wateja wao...
  5. Aloysius

    Atakaye fanikisha kumpata huyu zawadi nono itatolewa

    Hapana, ni mmbantu lakini ni mweupe, mrefu, kipindi cha nyuma alikuwa muajiriwa wa Kampuni ya ufundi pikipiki Kariakoo jangwani, iliomilikiwa na Wahindi ambayo kwa sasa imefungwa! Asante kwa kuhusika!
  6. Aloysius

    Atakaye fanikisha kumpata huyu zawadi nono itatolewa

    Mweupe, Mrefu, mwembamba na anavuta sana sigara, ana inert ya aina yake, yupo kasi na akili yake inaenda mbio sana! Asante kwakuonyesha nia!
  7. Aloysius

    Atakaye fanikisha kumpata huyu zawadi nono itatolewa

    Mweupe, Mrefu, mwembamba na anavuta sana sigara, ana inert ya aina yake, yupo kasi na akili yake inaenda mbio sana! Asante kwakuonyesha nia!
  8. Aloysius

    Atakaye fanikisha kumpata huyu zawadi nono itatolewa

    Tafadhali ndungu zangu wanajamii yoyote anaye mfahamu nakujua halipo fundi pikipiki anayefahamika kwa jina moja la fowadi, mpemba aishie dar ani inbox. Zawadi nono itatolewa. Ameiba pikipiki aina ya kinetics asw T388
  9. Aloysius

    Atakaye fanikisha kumpata huyu zawadi nono itatolewa

    Tafadhali ndungu zangu wanajamii yoyote anaye mfahamu nakujua halipo fundi pikipiki anayefahamika kwa jina moja la Fowadi, Mpemba aishie dar ani inbox. Zawadi nono itatolewa. Ameiba pikipiki aina ya Kinetics (VESPA) ASW T388. Ni mwembamba mweupe, anavuta sigara sana na akili yake inaenda kwa...
  10. Aloysius

    Serikali inapochoka kuadhimisha kumbukumbu za kifo cha mwalimu nyerere..!

    Na Aloys Rugazia Jumapili asubuhi ya tarehe 14/10, ninaamka alfajiri na mapema nakujiweka sawa kwaajili yakuanza siku hii muhimu, ni baada yakuota ndoto za ajabu ajabu usiku kucha, ndoto zinazo changanya kuhusu nchi yangu, moja ya vipande vya ndoto hio ninavyo vikumbuka, ni ile yakumuona...
  11. Aloysius

    Mmiliki wa JF ni...miaka 50 ya Uhuru?

    Just a minute mmiliki wa blog hii au promoter wa blog hii ya Jamii Forum ni nani tumpatie shukrani zetu kwa kukuza uhuru wa mawazo huku tukisherekea miaka hii hamsini ya uhuru?
Back
Top Bottom