Hata tukimlaumu mungu ndo basi hatuna namna. Ni mtihani kwa mwanadamu na inatupasa kuufaulu maana huu ndo muda pekee wa kutafuta njia sahihi coz ukishakufa bila muelekeo kiberiti kinakuhusu. Ni heri uamini yupo umtafute hata usipomkuta haujapoteza kitu. Ishu ni usimuamini afu umkute , yani...
Mungu alitumia uroho wa wazungu ili waje africa na hiyo ndo gia ya mungu kuingiza habari njema (ukristo ) lasivyo kusingekua na chakumleta mzungu Africa hivyo na mungu au kristu tusingelimjua. Kwakifupi. Ukoloni ndio ulileta ukristo na si ukristo ulioleta ukoloni
Sijui chanzo cha hii falsafa ila ni wazi hii ishu inapewa nguvu na wanawake wasomi na baadhi ya wanaume ili kuwafurahisha wake zao. Ikumbukwe kua mungu alifanya hekima ya ulimwengu huu kua ni upumbavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.