Kama katoto ametimia miezi basi amekuibia, alitakiwa ajifunge august tena tarehe za mwisho.
Mtoto hata kama hajachukua sura yako au pua lakini paji la USO lazima litafanana.
Wanawake siku hizi wanamatch rang za handbag na nguo lakini kumatch sura za watoto na baba zao hilo wamefeli kabisa
black seed oil unakunywa kutwa mara tatu., asubuh kabla hujala kitu., mchana na ucku b4 dinner. kijiko cha chakula kwa miezi mitatu mfululizo bila uvivu
daah nimeamini sasa., kuna jamaa 1 alipata kansa akatibiwa akapona fresh kabisa., ndugu yake akasema ameponeshwa na black seed/habbat soda. ahsante mkuu
daah nimeamini sasa., kuna jamaa 1 alipata kansa akatibiwa akapona fresh kabisa., ndugu yake akasema ameponeshwa na black seed/habbat soda. ahsante mkuu
wanakula kwa idadi nasikia., wanaisafisha tumbo wanaidadi yao., wanaoongeza cd4 wanaidad yao., wanaojitib u.t.i wanaidadi yao pia. kun wengn wanamez 1,2,3, n wengn mp 4.
pliiiiiiiiz nakuomba kamwe usiache kazi hata cku moja., huyo kijana kama ana tabia hizo hyo ndoa yenu haitadumu na kazi itakusaidia kulea watoto na ndugu zako. Hata cku moja mwanaume acjaribu kukwachisha kazi hawaaminiki.
au utumie dawa ya kojo hatochepuka tena na atakujari vby sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.