Pole sana. Wengi tumepita huko pia. Ila jitahidi kuwa busy kiasi cha kuchoka sana, epuka kukaa peke yako muda mrefu bila kazi. Epuka kukaa mazingira yaliyokuwa yanakushawishi kupiga puchu, tafuta mwenza wako ambaye atakuhudumia muda ukihisi kuwaka.
Puchu ni salama lakini sio nzuri sana madhara...
Kwa wale wenye uelewa juu kozi ya automobile engineering naomba mnieleweshe kiundani hiyo kozi inahusu nini;carriers wake wanafanya kazi gani; ina status gan ktk nchi yetu? Natumai kupata maoni ya kujenga! Wenu ktk Ujenzi wa TAIFA.:confused::
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.