Recent content by almasy

  1. A

    Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

    Pole sana. Wengi tumepita huko pia. Ila jitahidi kuwa busy kiasi cha kuchoka sana, epuka kukaa peke yako muda mrefu bila kazi. Epuka kukaa mazingira yaliyokuwa yanakushawishi kupiga puchu, tafuta mwenza wako ambaye atakuhudumia muda ukihisi kuwaka. Puchu ni salama lakini sio nzuri sana madhara...
  2. A

    Utaratibu wa usajili wa kitabu/gazeti unakuwaje?

    Mwenye kujua utaratibu wa kusajili kitabu au gazeti Tanzania atujuze tafadhali....
  3. A

    Ni sahihi Dr Ndalichako wa NECTA kuondoka, ameharibu

    Dah! Hapo patamu.... Kaka usizungmzie tu NECTA, gusia hata TCU;HESLB....
  4. A

    Msaada!

    Asante mshiriki mada.
  5. A

    Msaada!

    Kwa wale wenye uelewa juu kozi ya automobile engineering naomba mnieleweshe kiundani hiyo kozi inahusu nini;carriers wake wanafanya kazi gani; ina status gan ktk nchi yetu? Natumai kupata maoni ya kujenga! Wenu ktk Ujenzi wa TAIFA.:confused::
  6. A

    Help

    Kwa wanaojua;ufafanuzi wa kina (namaanisha inahusu nini,wahitimu wake hufanya kazi gani mara nyingi,maslahi yakoje; na changamoto)
Back
Top Bottom