Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Kwa watu wadadisi wa mambo wa maendeleo ya Sayansi na Uhandisi wanasema "Nanotechnology" ndo taaluma ya juu kabisa kwa wakati huu duniani. Imeweza kubadiri sura ya tafiti za dunia ya kwanza na baadhi ya nchi zilizojizatiti kuwekeza katika tafiti. Imeweza kuzalisha bidhaa mpya nyingi na za kisasa kabisa duniani na kufanya mapinduzi ya viwanda hasa katika mawasiliano na elektroniki, tiba na kilimo.
Katika siku za hivi karibuni Chuo cha Nelson Mandela cha pale Arusha kimejikita katika tafiti mbalimbali zinazolenga kuendeleza taaluma hii hapa nchini. Pia wanafunzi na wanataaluma mbalimbali wa vyuo vya hapa nchini wemeungana na kuanzisha chama cha watu wanaotaka kuendeleza tafiti za taaluma hizi injulikanayo kama "Tanzania Nanotechnology Initiatives-TANi" tanzaniananotech.org ikijumuisha wataalam katika masomo ya chemistry, biology, physics, engineering na computer.
Kwa wale wenye nia thabiti ya kufanya tafiti na kusimamia maendeleo ya nchi yetu kisayansi. Karibu tuungane.
Katika siku za hivi karibuni Chuo cha Nelson Mandela cha pale Arusha kimejikita katika tafiti mbalimbali zinazolenga kuendeleza taaluma hii hapa nchini. Pia wanafunzi na wanataaluma mbalimbali wa vyuo vya hapa nchini wemeungana na kuanzisha chama cha watu wanaotaka kuendeleza tafiti za taaluma hizi injulikanayo kama "Tanzania Nanotechnology Initiatives-TANi" tanzaniananotech.org ikijumuisha wataalam katika masomo ya chemistry, biology, physics, engineering na computer.
Kwa wale wenye nia thabiti ya kufanya tafiti na kusimamia maendeleo ya nchi yetu kisayansi. Karibu tuungane.