Haya ni mauaji ilibidi bendera zipeperuke nusu mlingoti kwa kuawa ndugu zetu kinyama kule pemba kuna mashimo makubwa 2 walifukiwa kama kumbi kumbi okelo alifanya mapinduzi ya kuondoa uislamu znz na kuupandikiza ukatoliki mola mlaani okelo na nyerere wake
Inaonekana ww znz huijui okelo ni mkenya aliyetumwa na kanisa kuja kuua wazee ambao walionekana kuwa mila za kiislamu wala si mapinduzi mnavyodhania na karume yy alishikwa masikio kutokana na ujhili wake wa kukosa elimu na baada kuona anashtuka wakamuua znz wameifanya kuwa koloni la tanganyika...
Jamani ndugu sisi ni binadam tunapewa taaarifa tuna upeo wa kufikiria tofauti na mbuzi vitabu vinaeleza kuwa mwarabu ndio aliyekuwa akiwachukua mababu zetu wakiwafanya watumwa swali nauliza ni mashamba gani duniani yalimilikiwa na waarabu? Pili kwanini picha zote zinazowaonesha waarabu...
John okelo huyu jamaa ni mkenya aliyetumwa na serikali tatu za afrika mashariki ili zanzibar isije kuwa nchi ndio ukaona muda mchache tu baada ya mapinduzi muungano ukafanyika hii ni hali ya kuifanya zanzibbar iwe koloni la tanganyika hakuna mapinduzi ya halali bali ni ktk hali ya unyanyasaji wa...
Yaani namuoombea kwa mungu akachomwe dhalimu mkubwa aliyeshiriki kuwadhumu na kuwauwa ndugu zetu wa kipalestina bado na huyo benjamin netanyau moto uwe ndio makazi yao laanatullah
Kwani hiyo tanga mwaitakia nn huo ni mji wa kiislamu sema kuna mashetani watu huja kuuharibu tanga ni mji wa wakarimu sio kama miji ya kwenu bara nimeenda iringa watu wanajitenga kabisa na mm tanga rahaa atakaae na aje mungu ujaalie mkoa wetu mwaka 2014 uwe wa mafanikio by mdigo halisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.