Mifugo huhitaji majani mabichi lakini pia makavu kwa ajili ya kuongeza ukuaji wa haraka lakini pia kuongeza kiasi cha maziwa kwa ng'ombe.
MAJANI HAYA YANAPATIKANA WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO- KAMPASI YA BUHURI -TANGA
BELI MOJA INA KG 12- 15
0715 942 282. // 0684 426 849
Kinachoonekana hapo kwa mawazo mepesi tu ni kwamba hata wewe mwenyewe huna uhakika kama ni fisadi au si fisadi...kwa hiyo unasubiri akitumbuliwa basi kwako atakuwa fisadi na ambavyo hajatumbuliwa kwako si fisadi.......JENGA HOJA YA KUTETEA USAFI WAKE!!
huo ni utashi wa mtu kwenda au kutokwenda malori si hoja wala wasanii si hoja .....na hata kama malori yatakuwepo asietaka kwenda hatokwenda na atakaetaka kwenda atakwenda tu .....toeni hoja za msingi
siasa za majitaka na kwa mwanasiasa anayejitambua huwa anawaeleza wapiga kura wake atakayowafanyia na kuwaacha wao waamue .....na si kuogopa mshindani wake .....unapowaambia watu wasiende unawajengea maswali ambayo majibu yake hayatakuwa rafiki kwako ......tafakarini team inayomsapoti kampeni babu
haah eti saa hizi slaa kawa mzuri kwa chedema ( kahitalifiana kwenye uteuzi tu ) na maneno yoooooote yaliyokuwa yakisemwa baada ya press conference leo hayana maana eeeh ......slaa tulimuelewa sana na yeye ni jembe alikataa kuuzwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.