Habari wadau Kama nilivyoeleza hapo juu naomba ushaur juu ya vipimo vizur vya madirisha makubwa yenye kuifanya nyumba iwe na mwonekano mzur yenye kuvutia.
Wapo walionishaur niweke ft 5 yaani mita 1.7 wapo wengine wamenishaur ft6/mita 2 nawengine wamenishaur niweke madirisha mawili mawili ya ft...
Ukichunguza utakuta mtu hata kiwanja Hana anapangisha Kama mzigo lakini anajitutumua kutoa mil.4 kumiliki iPhone 13 kisa tu aonekane mjanja wa mjini.
Angalia kesho yako usiangalie vitu vya kupita ambavyo kila siku vinapotea na kuja vingine vipya.
Kama una uwezo si vibaya kununua kitu Cha...
Kama unataka mafundi waaminifu nenda kachukue wapemba ambao hawajaingia dar.
Sio kwamba hakuna wapigaji Ila kwa kiasi kikubwa wazenj Ni watu waaminifu sana ukilinganisha na huku bara kwani kule wamekuzwa katika misingi ya dini wamefundwa kuwa na hofu ya mungu.
Bara watu wamepinda hawaogopi...
Wanawake Kama hao wapo inaonekana alichanika wakati wa kujifungua Wala hakupata mshono.
Kwa sababu hiyo sio Hali ya kawaida Kuna njia mbili ambazo zinaweza kukusaidia
1.kama upo vizur nenda katika hospital kubwa kwa wataalam wakaangalie kiini Cha tatizo Kama tatizo la kuchanika wakati wa...
Huo Ni mtazamo wako na kila mmoja ana mtazamo wake katika maisha Sasa mwenzio mtazamo wake Ni kupata nyumba.
Mm ushaur wangu wewe Anza ujenz hata Kama hautamalizia finishing yote Ila Nina Imani zitakufisha mbali sana palipobakia utamalizia kidogo kidogo.
Cha msingi zingatia kununua matirial...
Kama nilivyoeleza hapo juu simu yangu Aina ya Tecno park 5 Ina tatizo la kutopokea chaji ikiwa imewashwa takriban wiki Sasa.
Njia pekee ninayotumia kwa Sasa Ni kuizima tu kila ninapohitaji kuichaji.
Tatizo Hilo lilianza Mara tu baada ya kuja silent notification ya Android system kwenye simu...
Habari wadau,
Mm Nina simu kubwa mbili ambazo natumia laini tatu za mitandao tafauti Zazntel,Vodacom na halotel.
Laini hizo zote nazitumia kwa matuizi ya internet ambapo Mara nyingi huaga naweka salio la 1000 kwa kila laini lakini nilichogundua bando la zantel Mara zote huaga linachelewa...
Kwenda huko co poa hata kidogo Kuna rafikiangu alizamia huko alichokutana nacho hatakaa asahau katika maisha yake yote.
Kwa macho Yale alishuhudia mtu anafanya sex na maiti,
Haikuishia hapo akashuhudia vedio ya binadam anachinjwa Kama anavyochinjwa kuku kusha akakatwa vipande vipande Kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.