Recent content by Ally7

  1. Ally7

    Jesuit Hatha Yoga ni upagani

    Kichwa cha Habari kinazungumza yoga, Maelezo umeongelea Islamic Zaidi kuzidi Hiyo yoga sasa kama sio chuki dhidi ya uislamu ni nini?
  2. Ally7

    Ni dhambi zipi ukizifanya (ukizoea kuzifanya) unakufa masikini?

    Hichi Nilichoandika kinahusu wanaoamini uwepo wa Aliyeumba Dunia na Vilivyomo (Kwa yeyote asiyeamini unaweza usome kujifunza, Kwa mwenye swali Nitajibu hispokuwa tu yaliyo ya kejeli) Ipo Hivi, Kuna Watu wanaamini kufanikiwa Hapa Duniani maana yake Mwenyezi Mungu anapowajibu Dua zao Licha ya...
  3. Ally7

    Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

    Kibaya Kila Mwanaume anatamani aoe mwanamke wa Aina hiyo ila wakati Huo huo Tunaona Jinsi watu wanajisifia Kuzitoa Hizo kwa mabinti wadogo wadogo. Na tena Kibaya zaidi wengi humu wanawasifia na kuwapa hata mbinu.
  4. Ally7

    Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

    Ulivyoandika Tu unajua Kila Kitu, Tayari Wewe Hauna Unalolijua. Swali Lipi Hilo Ulimuuliza, Mpaka Akaona Upungufu Katika Uislamu? Liulize Hapa. Sent from my TECNO PR651E using JamiiForums mobile app
  5. Ally7

    Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

    Yeye Kaongelea Uaminifu/ Uadilifu, Hajaongelea Talaka wala kuongeza Mke. Na Kasema Kuwa wanaihofia Zinaa. Kuhusu Kuongeza mke wa Pili, Dini yake inamruhusu. Kutokuhudumia Hiyo ni Mada nyingine haina mahusiano na alichozungumza Mwanzisha Uzi.
  6. Ally7

    Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

    Mmoja Kati Ya Uliowataja, Nilifahamiana nae hapa hapa Kilichotutenganisha ni imani zetu. Ni Mwanamke Ambaye Popote Siwezi Kumsema vibaya, Atakayemuoa ni kweli Hatojutia. Ana Hofu Ya Mungu Ana Moyo wa Huruma Ana ijua thamani yake na kujitunza. Ana Uelewa wa mambo mengi ya kijamii. Ni Muelewa...
  7. Ally7

    Things Qatar did for World Cup 2022 to promote the beauty of Islamic religion

    Hawa watu ni wanafiki Sana, Wakati Wanadai kuishi kwa upendo, Tunaona humu kukicha wakifungua nyuzi za kuudhihaki UISLAMU. Sasa Upendo wao upo wapi? Yaani mtu atoe uhai wa mwingine kwa kudhamiria huku akijua hilo ni kosa na bado asamehewe? Mtu akiibie mali yako tena hata kukudhuru yupo tayari...
  8. Ally7

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Unaweza nisaidia ABC Kuipata, Ikiwezekana na Bei yake? Natanguliza Shukrani.
  9. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Labda Nikuulize, Hapo Kuna Uhuru? Kwa akili zako mtu akitaka Shati lako umpe na koti ndiyo unaona ni uhuru Huo? Yaani leo Wewe uwe na Gari Mtu akusimamishe njiani atake kulichukua Gari Lako ushuke umwachie?? Yaani Mtu Atake kukunyang'anya Nyumba unayo ishi na Familia yako halafu uondoke...
  10. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Hapo Umewazungumzia Wanaojiita Waislamu, Wanaotumia Uislamu Kujinufaisha Hasa kwa Watu kama wewe wasiokuwa na Uelewa wa kutofautisha Kati ya Uislamu (Dini) na Muislamu (Binadamu). Katika Sheria Za Uislamu Moja Kati Ya Madhambi Makubwa Kabisa ni Pamoja na Kumshirikisha na chochote Mola Wako...
  11. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Sasa Mtu Akizungumzia Uislamu (Dini Kamilifu) wewe unazungumzia Zenji Huoni Huelewi Unachokiongea?
  12. Ally7

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu, Nahitaji Gasket Head - Gari BMW 320i ya Mwaka 2002.
  13. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Kama Waarabu wana Mungu wao na Waislamu wana Mungu wao, Hapo Sina Cha Ziada. Baki Na Imani yako, Na Waislamu watabaki na Imani yao.
  14. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Nimezungumzia Uislamu na Mafundisho yake, Wewe unazungumzia Waarabu na tamaduni zao. Huoni Kama Tofauti Hapo? Sasa Kwa Fikra Hizo Unawezaje Kuuzungumzia Uislamu na Huelewi Chochote Kuhusu Uislamu??
  15. Ally7

    Kuwa Mkristo ni neema na kuwa muislam ni kifungo

    Labda Ufafanue Uislamu unaozungumzia wewe ni Upi? Unaweza Kueleza kwa kifupi Mifano Kuwa waislamu hawapo Huru? Uislamu Hauna Kifungo, Uislamu ni mfumo sahihi wa maisha ya binadamu. Uislamu Unafundisha 1.Malezi Sahihi ya watoto (haki za mtoto na haki za mzazi) 2.Namna ya Kula. 3.Kuongea...
Back
Top Bottom