Recent content by ally tuliani

  1. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    sawa ngoja nifanye ivyo mkubwa
  2. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    aisee mbona hawaweki mabadiliko sasa maana mpaka kwenye web page yao kuna video inayoonyesha ivyo, anyway thanx kwa msaada
  3. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wadau nmekuwa nikilipia pesa meridian BET lakin siion kwenye account maana procedure zote nmezifanya kama wanavyotaka na kama nlivyokuwa natumia msimu uliopita na pesa ilikuwa inaonekana. 1.*150*00#.... 2. nachagua 4 3. nachagua 4 tena 4. naingiza 170066 5. naandika jina langu kama namba ID...
  4. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kama kwenye cm penda kutumia browser iliyokuja na cm ndo inakuwa nzur kufungulia
  5. ally tuliani

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    wadau naombeni iyo data base allytulian@outlook.com
  6. ally tuliani

    Mapenzi hayana mwenyewe

    dada yangu cha kukushauli ni kufanya shughuli unazozipenda binafsi mimi napenda kucheza na kuangalia mpra znaniondolea stress so nakushauru penda kufanya shughuli ambazo znakufurahisha na kukuweka bize, ckushauli kuckilza music itakupa mawazo, fanya shughuli ambazo zitakuhangaisha
  7. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    man city aharibu mikeka ya watu pale!
  8. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    teyari uko bayern woyooooooo 1-0
  9. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ahsanteeeeee kk kwel unaweza kk
  10. ally tuliani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wadau mbona mi nimejiunga meridianbet wananambia account not activated nifanyeje?
Back
Top Bottom