Nadhani wote itakuwa wanafika kilele kwa wakati mmoja sababu mwili ni mmoja kwa maana ikiwa litapatikana jeraha mguuni kwa mfano au kiunoni maumivu yatapita kwa wote sababu mwili wao mmoja tofauti ni vichwa tu.
Hongera sana Mzee kwa Story nzuri yenye Elimu na Mafunzo hakika U Muandishi bora wenye hamasa nimeifuatilia story hakika najutia kuchelewa kuisoma Shukran Mwenyezi Mungu Akujaalie Umri na Afya njema uzidi kutupatia Elimu na Mafunzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.