Recent content by Ally Shaban ally

  1. Ally Shaban ally

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Kuna wengine humu Wanatumia malashi ya kupulizia mait kwahyo hawata post chochote
  2. Ally Shaban ally

    Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

    Kiukweli cha kusema ni kwamba hauwez kumuxhukulu kuwa mtu ni shoga hàta kàma utajua hautakuwa na ushaid wa kutoshà kwahyo kikubwa ni kuwashauli ambao hawajaanza hiyo tabia wasijalibu na wasiige tabia za wenzetu
  3. Ally Shaban ally

    Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

    Hapa ndo nimeamin Kama alivyo sema mtu hàoendwi na watu wote nisahihi
  4. Ally Shaban ally

    Miradi mingi ya Hayati Magufuli ya kutoa fedha taslimu ni 'White Elephant'

    Hàkuna mtu anaye sifiwa nà watu wote hata kamà angeyafanya uliyo yasema bàdo ungemupinga na aliyepo ayafanye hayo unayo yaona ni sahihi kwa upande wako
  5. Ally Shaban ally

    Mnaopata wanaume wa kuwaoa, huwa mnafanyaje?

    Hao unao ona wanatoka kazi wanaenda kanisani ulieshafatilia back ground yào
  6. Ally Shaban ally

    Lissu anasema Rais Samia amebadilisha upepo wa kisiasa

    Watu Watu wanalia Hali gumu nyie munasema ametengeneza Tanzania ili uamini hakuna alicho kifanya subili 2025 hapo ndo utaamin kwann napinga Hilo amenufaisha San watu wenye maendeleo na kuwanyonga watu wenye kipato cha chin kwako wewe utaona katengeneza Tanzania watu weng wataona Kaharibu Tanzania
  7. Ally Shaban ally

    Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

    Usiseme miaka 500 mbele sema2 miaka Kama 30 hiv maana sasahiv wanawake wajiuza Kama nyanya sehemu mbali mbali na ambaye hajiuzi kwa njia ya kujiweka sokon basi Mimi sijamuona bint anayetoa namba kwa mwanaume na asifanye nae tendo la ndoa na kwa siku bint anatoa namba si chin ya watu watu wawili...
  8. Ally Shaban ally

    Hivi mwanaume kuwa romantic ndiyo kuwaje?

    Kwa sasa hiv kwenye 100 utawapata 10 wanawake weng sasa hiv huolewa kwa ajili ya maisha màzur na hajali kuhusu moyo wao kwahyo hawez kuwa romantic wakat ameolewa na mtu kwa ajili ya kuishi vizur tu na si kingine yupo mtu MWINGINE yupo moyon mwake
  9. Ally Shaban ally

    Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

    Usiseme miaka 500 mbele sema2 miaka Kama 30 hiv maana sasahiv wanawake wajiuza Kama nyanya sehemu mbali mbali na ambaye hajiuzi kwa njia ya kujiweka sokon basi Mimi sijamuona bint anayetoa namba kwa mwanaume na asifanye nae tendo la ndoa na kwa siku bint anatoa namba si chin ya watu watu wawili...
  10. Ally Shaban ally

    Je, unakubali ndoa au unakataa?

    Wewe unafikilia kila aliyetoa maon hapo yupo katika ndoa
  11. Ally Shaban ally

    Je, unakubali ndoa au unakataa?

    Víp? Ambao hawajaingia kwenye hizo ndoa tunaluhusa ya kushaur chochote hapo au wengine ni kupost maoni tu pasipo kufikilia
Back
Top Bottom