Kisopwa kwa sasa maji ya bomba yapo,umeme upo,barabara iko chini ya tan road so inarekebishwa mara kwa mara. Potential kwa baadae once mloganzila ikijengwa ikaisha. Kwa sasa viwanja vya 20x20 ni million 4 na kuendelea. Watu wananunua na kujenga na km watu wawili nawajua wameshahamia tayar kati...
Kaka naomba namba yako unisaidie hizi info na mm maana kiwandani nilishaenda ila baada ya kwenda singida kuona bei ya mbuzi nikaona kama itanikata so nauhitaj wa kufundishwa hii kitu plz
OK so mchango wako ni upi? Atleast tujaribu ku establish na kuimpliment policies ambazo zitawabana kidogo na kutupa return km hii ya trillion 300 au tuwaachie tuu wale wanavyojisikia? Maana nataman kujua ur point point of argument.
Hzo za kisasa bullet train sisi kwa sasa hatuna uwezo wa kununua ni very expensive. Pia running cost yake nikubwa wangeleta hzo tungepiga tena kelele kwemye nauli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.