hivi tukirejea tukio la kupigwa risasi Mapagre je silaha zilizotumika zilitoka wapi? na nani anaetoa vibali vya kumiliki silaha, na zanzibar haikupakana na waasi wenye kupenyeza silaha... maana wenye kibali cha kumiliki silaha wanaulizwa ilitumika kwa sababu gani?... uchunguzi wa serikali upite...
haijulikani kama uamsho ndo wamehusika au viongozi wa makanisa wenyewe. maana siku hizi mtu akikuchukia silaha yake ni tindikali, je shehe wa Arusha kamwagiwa tindikali na Uamsho au wakristo. tuache uchunguzi wa polisi.....over!
Iweje ufuge ng'ombe wakati nyama na maziwa vinapatikana dukani? pili mwanake wako akijifungua,akiwa kwenye siku,siku nyengine hajisikii kufanya tendo ndio maana 2natafuta wanawake wa kununua
nna hisi kukosewa kwa somo la dini kwenye kusahihishwa kwa form 6 2012 kitendo hicho hakikuwa poa ila waislam 2kazeni msuli c kubweteka na vicngizio m2 atavuna alichopanda tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.