Recent content by Ally baba

  1. A

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Hawa watu ni hatari huwa hawakosi kitu cha kusema na kupoteza ushaidi kwa kuleta vitu vya kuwashangaza watu.wanashindwa kuelewa kuwa watu wa sasa sio wale wa enzi ya malimu.wanatakiwa kuwajibika kwa ilo kamanda siro uliangalie kwa kina.haya matendo yamekisiri ktk nnchi hii mwisho utafika...
  2. A

    Ushauri kwa Mkuu wa Polisi: Risasi zinazopigwa hewani makazi ya watu zinaweza kuua

    Watanzania kila kinacho anzishwa lazima kipate washaabiki sio wadadisi mambo yakikua wanabadilika na kulalamika upya na kwa stail tofauti tukemee maovu kabla hayajakua mazoeya ili taifa letu libaki na amani ya kudumu.hekima na staha ndio sifa ya watanzania tuangalie haya.
  3. A

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Mnalenu tu si bure mmeshapewa vijisenti na mitandao mingine inayopigwa bao na Halotel mnaanza kuleta mauzauza kwendenizenu.kwani hamkutambua mapema? mka wazuiya hadi Leo? Msituchanye.
  4. A

    Picha ya Siku ya Mrisho Kikwete

    Ndio uongozi mzuri unatakiwa.ili ubaki huru ktk maisha . na heshima kwa ujumla
  5. A

    Maandalizi yanaendelea, wanaodhani Korea Kaskazini atapona waendelee na udhanifu wao

    Kazi ya watanzania imepatikana sasa.tumemaliza vyeti tuko Korea sasa endelea!
  6. A

    Ikulu: Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Kagame. Akubali kupeleka Rwanda walimu wa Kiswahili

    Kila Mtego ukitegwa unanasa tu hatupinduki kwa( k)hawa jamaa wana mbinu kubwa kiutawala watatawala tu Africa mashariki bila tabu.wana mademu wakali sana tusubili tone.
  7. A

    Mh Mbunge Halima Mdee utawatega watu na kijivazi hicho.

    Kujiheshimu ni mpaka uwe jimboni kwako? Hawa ni wabunge wamwendo kasi . hivi huyu dada aisha wai pata mume huyu?
  8. A

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Hii siasa mbaya sana haifanani ila inapewa jina tu tuwe makini na hili huwa linaanza polepole mwisho jina linakua.halafu tunaendelea kutokomeza wenyejina ili waishe ndio turudi kwenye uchaguzi angalieni tulinde amani yetu tusijivuruge kwa maslai yasio na msingi kwetu sisi watawaliwa.huu...
Back
Top Bottom