Maelezo yako yanaonesha mnapendana eeh! Maana kila ukijaribu kuachana nae,ukimwona tuu msimamo wote kwisha kabisa.Itakuwa anakufadhili na ndiyo sababu inayokufanya kupoteza mwelekeo.TAFAKARI....CHUKUA HATUA
Ukiwa kama kiongozi/mwanachama natumai umeisoma na kuielewa vyema katiba ya chama chako,inaelekeza namna ya kushughulikia matatizo/mizozo kama hiyo.Sidhani kwa wewe kujitoa ktk chama kutasaidia kupunguza/kuondoa mizozo.Tafakari kwa kina kuliko kulikimbia tatizo......PAMPANA KWA MUJIBU WA KATIBA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.