Wakati mwingine sio lazima uandike uonekane umeandika. Shule siku hizi sio lazima usubiri kuandikishwa bali hata ulipokaa unaweza kupata shule. Jitahidi kusoma na uelewe.
Kiufupi tu, jitahidi kujielimisha, usiwe na hisia zako kwenye masuala muhimu na ukawasilisha hisia zako badala ya uhalisia.
Hivi ulishawahi kufika kwenye umati wa watu wamekaa, alafu useme "Afande hawa hapa" uone wanavyotoka mbio?😂😂😂
Sasa ndio hii, hujataja chama, tayari watu wanaruka na wewe, hujamtaja mtu, tayari watu wanamtaja... Hii hatari sana hii.😂😂😂
Situmii fake ID, jina hilo unaloona hapo ndio jina langu Alloyce, PR. hayo mengine nimefupisha, na hiyo sura ndio yangu uhalisia. Sasa kati yangu mimi na wewe unayejiita Zitto Junior na sura sijui ya nani, nani hapo mwenye fake ID?
Mimi sijataja chama chochote cha siasa, na vyama vya upinzani...
Before critiquing the depth of my post, it is important to first understand the context in which it was written. While your response touches on points outside the scope of my original argument, allow me to clarify the issues you have raised:
Political Tolerance, this is not a matter of...
Kama watu wanafanya kazi ya kulaumu, ukiwapa kazi wanaiba, ukiajiriwa hulipwi sawa na unavyofanya kazi, ukilipwa unakimbilia kulewa, ukipata pesa kidogo huamki kwenda kazini utakesha ndani umelala, kijana wa kiume anapata kipato alafu anakuwa na wanawake 5+, ukipata mshahara ndugu au ukoo...
Since my post did not endorse any specific opposition party, it would be inconsistent and narrow to analyze CCM in isolation. However, I am open to providing an analytical perspective on the challenges faced by ruling parties in general. In this context, I can examine how certain systemic...
Barua ya kwanza niliona kama CHADEMA wameonewa ila ya pili ni sahihi walimwe barua. Nimefuatilia sana mkutano wao walipokuwa Dodoma, na niliandika hivi👇👇👇👇👇
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.