Recent content by Alloyce PR

  1. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Idadi ya watu vs Fursa za ajira

    Bara la Afrika litakuja kuwa na Bomu kubwa sana miaka 20 ijayo, sasa hivi linasubiri kulipuka tu.
  2. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Idadi ya watu vs Fursa za ajira

  3. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania The ultimate Judge of your Mind.

  4. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya shetani na ushawishi wa kisiasa

    Kuna shetani ananinishawishi kwamba, mwaka 2040 niingie kwenye siasa. Sijui kama nimsikilize au nimpuuze. Mnishauri, nifanye nini?Alloyce, P.R.
  5. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Yapende maisha uliyonayo

  6. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania BRELA: BOS imenipa Control Number ambayo GePG inasema “Bill does not exist”

  7. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania KIJANA WA KIUME KUNYENYEKEA AJIRA NI UCHAWA.

    Utakua wewe ni miongoni mwa punga. Bata wewe.
  8. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania KIJANA WA KIUME KUNYENYEKEA AJIRA NI UCHAWA.

    "Kijana wa kiume kulilia ajira, kulia unapofukuzwa kazi, halafu ukajinyenyekeza kuomba kurejeshewa ajira ambayo hujaitengeneza wewe wala baba yako, ni dalili ya utegemezi uliokithiri wenye kuzalisha uchawa. Taifa linahitaji vijana wanaotengeneza ajira, si wanaoziabudu." — Alloyce, P.R.
  9. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania 2030 Bado Mbali: Acheni Mbwembwe, Watumikieni Wananchi

    😈😈😈
  10. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania 2030 Bado Mbali: Acheni Mbwembwe, Watumikieni Wananchi

    Duh! Noma sana.
  11. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania 2030 Bado Mbali: Acheni Mbwembwe, Watumikieni Wananchi

    Viongozi, kumbukeni kwamba mwaka 2030 bado uko mbali. Kazi yenu kwa sasa ni kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kutekeleza wajibu wenu kwa matokeo yanayoonekana. Mkianza mbwembwe za kisiasa mapema na kujenga taswira ya kutafuta umaarufu binafsi, mnaweza kujikuta mkirudia makosa yaliyowahi...
  12. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Huenda pakatokea mivutano ya kikatiba itakayopelekea fujo na vurugu katika mkutano wa Baraza kuu la CHADEMA taifa Septemba 15,2026

    Kama kawaida yao watapuuza. Ila muhimu umewasanua.
  13. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Alloyce, P.R.: Nguzo za kimkakati kuhakikisha Idara za Usalama wa Taifa zinafanya kazi ipasavyo

    Katika ulimwengu wa sasa unaobadilika kwa kasi ya ajabu, usalama wa taifa hautegemei tu idadi ya watumishi au zana za kivita, bali unategemea ufanisi, weledi, na wepesi wa Idara za Kijasusi na Usalama katika kubaini, kuchambua, na kuzuia matishio. Ili kuhakikisha idara hizi (kama vile TISS...
Back
Top Bottom