Recent content by Alloyce PR

  1. Alloyce PR

    Ukitaka kujua kwamba Urusi na China hawana ukubwa wowote angalia kilichoipata Iran, Venezuela na Syria

    Wakati mwingine sio lazima uandike uonekane umeandika. Shule siku hizi sio lazima usubiri kuandikishwa bali hata ulipokaa unaweza kupata shule. Jitahidi kusoma na uelewe. Kiufupi tu, jitahidi kujielimisha, usiwe na hisia zako kwenye masuala muhimu na ukawasilisha hisia zako badala ya uhalisia.
  2. Alloyce PR

    CHAUMMA yatikisa Isman, yadaiwa kura zao zimeibwa

    Hiyo inatafsiri ile 96+% ya Uchaguzi mkuu 29. 10.2026.
  3. Alloyce PR

    Kitendawili cha ugumu wa maisha Afrika ya Mashariki.

  4. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Hivi ulishawahi kufika kwenye umati wa watu wamekaa, alafu useme "Afande hawa hapa" uone wanavyotoka mbio?😂😂😂 Sasa ndio hii, hujataja chama, tayari watu wanaruka na wewe, hujamtaja mtu, tayari watu wanamtaja... Hii hatari sana hii.😂😂😂
  5. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Situmii fake ID, jina hilo unaloona hapo ndio jina langu Alloyce, PR. hayo mengine nimefupisha, na hiyo sura ndio yangu uhalisia. Sasa kati yangu mimi na wewe unayejiita Zitto Junior na sura sijui ya nani, nani hapo mwenye fake ID? Mimi sijataja chama chochote cha siasa, na vyama vya upinzani...
  6. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Before critiquing the depth of my post, it is important to first understand the context in which it was written. While your response touches on points outside the scope of my original argument, allow me to clarify the issues you have raised: Political Tolerance, this is not a matter of...
  7. Alloyce PR

    Inasikitisha Kuona kwamba Nchi 12 Zenye Idadi Kubwa ya Watu Maskini Duniani, 10 Ziko Afrika. Tanzania, DRC, Kenya, Uganda na Majirani Zetu Wote

    Kama watu wanafanya kazi ya kulaumu, ukiwapa kazi wanaiba, ukiajiriwa hulipwi sawa na unavyofanya kazi, ukilipwa unakimbilia kulewa, ukipata pesa kidogo huamki kwenda kazini utakesha ndani umelala, kijana wa kiume anapata kipato alafu anakuwa na wanawake 5+, ukipata mshahara ndugu au ukoo...
  8. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Maumivu ni makali sana ukipigwa jiwe la utosi alafu gizani.😂😂😂
  9. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Ni hatari sana. Siasa zimevamiwa mkuu.
  10. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

    Since my post did not endorse any specific opposition party, it would be inconsistent and narrow to analyze CCM in isolation. However, I am open to providing an analytical perspective on the challenges faced by ruling parties in general. In this context, I can examine how certain systemic...
  11. Alloyce PR

    Changamoto ya Vyama vya Upinzani Afrika ya Mashariki

  12. Alloyce PR

    Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Barua ya kwanza niliona kama CHADEMA wameonewa ila ya pili ni sahihi walimwe barua. Nimefuatilia sana mkutano wao walipokuwa Dodoma, na niliandika hivi👇👇👇👇👇
  13. Alloyce PR

    SIASA SIO KICHAKA CHA UHUNI AFRIKA. NA KUWA MPINZANI SIO GEREZA LA WAKOSA AKILI.

    Wanasiasa, mjue siasa ni kitu gani ndio mcheze sio kuingia na mihemko.
Back
Top Bottom