Mmmh mimba zina mambo ila kama hiyo too much. Wengine huwa wanajifanyisha na kucngizia mimba coz kuna mdada nafanya nae kaz ana mimba bwana eenh kwenye vikao anaongea kero yoyote anayojickia akiamua anakuchana mpaka unataman kumtwanga cha kushangaza anafanya makusud akicngizia mimba. You have...
Yeah that's true, wamekua wakiwasisitiza watoto waende madrasa na kuwapandikiza chuki. Hope wakifunguka akili zao na kuwapeleka watoto should taifa litaendelea. Mcweke udini na elimu. That's it. Nilikua napita tu jaman!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.