Habari, nauza hi Yamaha boat engine kwa bei poa kabsa ikiwa kweli hali nzuri karibia mpya.
Yamaha 115
Fuel injection
Fourstroke
Petrol
115hp
Bei 11m negotiable mapatano kdg
Pia nakubal exchange
0778920344
[ATTACH type="full" alt="
Natoa maoni yangu!
1. Kuhusu gharama :-
Usafir wa bahari una gharama kubwa kwa wawekezaji hivyo hupelekea kuwepo nauli kubwa na asilimia kubwa ya wasafir wanashindwa kulipia hasa wafanya biashara kukiwepo njia mbadala wanaona ni bora njia rahisi!
2. Na kuhusu muda
Bahari inaweza kuwa kuwa...
Naomba nikujib kwa uelewa wangu
Katibu mkuu anapokuja mkoan husika atapokea amri ya mkuu wa mkoa ila katibu mkuu atakuwa na nguvu kwa kutoa amri kwnye wizara yake husika kwa hyo unaposema nani ana nguvu mwenye nguvu mkoani atakuwa mkuu wa mkoa ndio mana limetumika neno (mkuu wa mkoa) na katibu...
Habari! Mimi naitaji kuingia kwenye biashara ya uvuvi baharini! Ningependelea kutumia fiber boats sasa nataka kujua gharama kuanzia bei ya boat (25fts urefu na upana iwe 6fts) na bei ya engine inayowez kufaa hapo na vitu gani nitahitaji kwenye kaz hyo na gharama zake , pamoja na usajili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.