Recent content by Allency

  1. A

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Mkuu naomba kukuuliza, so Mungu wakati anamuumba shetani hakujua kuwa atakuja kuwa na kiburi?
  2. A

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Aliwaweza kupitia kuwaita wanyonge na wao wakafurahi sana
  3. A

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Japo huyu simkubali lakini jiwe hajawahi kuwa bora. Labda kwa watu wasiokuwa na ufahamu na kuitwa wanyonge. Ana mazuri kiasi lakini na yeye alikuwa na mabaya mengi
  4. A

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Mkuu malaika ni majini? Maana nasikia alikuwa Mkuu wa malaika huko mbinguni na malaika hawana utashi kama binadamu. Fafanua kidogo
  5. A

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Utakuwa onaota ndugu kobisi. Naishia hapa tu
  6. A

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwani Iran wanasubiri mpaka wafanywe nini ili waziachie hizo missiles zao? Mpaka kiongozi mkuu kafyekwa kama kuku lakini wapo wapo tu eti wana silaha kali wamezificha chini ya ardhi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  7. A

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mshauri afanye hivyo nchi yake ofutike katika ramani ya dunia. Kiongozi wao mkuu kauliwa kama mbwa koko lakini mbona hawajachia hizo missiles kama wana huo uwezo. Wataka wafanywe nini ili waziachie?
  8. A

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kama kweli una akili timamu unadhani Iran inaweza shinda vita dhidi ya US +Israel? Labda uwe kichaa au kobazi
  9. A

    Jumuiya ya madola kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025 mwezi huu

    Kwa upande wangu sioni kama kutakuwa na jipya kwa hii tume. Mfano ikitokea tume hii ikabaini makosa ya Serikali itafanya nini hatma yake? Huku ni kupoteza pesa na muda tu kwani tume hii nayo haina uwezo wa kuiwajibisha Serikali
  10. A

    Iran wanashindwa nini kulipiza kisasi kwa kumuua Netanyau?

    Ukiona mtu kaanza kuandika matusi basi jua hakuna kitu hapo au kaishiwa hoja. Dini ya mudi ni shida sana.
  11. A

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Basi huyo Ayatollah hakufaa kuwa kiongozi. Unajiachia tu ili usionekane mbinafsi mpaka unauliwa kizembe hivyo. Wayatoe sasa hayo makombora wayatumie. Unayaficha chini ya ardhi huku unakula kichapo,au anasubiri yazae yawe mengi ndiyo ayatumie? Ujinga ni kulala jaa kisa unajenga nyumba. Unaficha...
  12. A

    Kwanini Tanzania ndiyo nchi rahisi zaidi duniani kwa mgeni kuishi kienyeji bila vibali na asichukuliwe hatua yoyote?

    Sababu rangi zao zinawabeba, Wakenya sababu ni wakorofi hivyo tunatunishia misuli, Waganda sababu ni tunashindana kiuchumi. Wamelawi sababu ni masikini wanakuja kufanya kazi za hovyo hovyo na siyo wakorofi. Ukiwa masikini hakuna mtu wa kupoteza muda ku deal na wewe endapo tu siyo mkorofi
Back
Top Bottom