Kwa sasa kama yeye mwenyewe kaamua kukaa kimya bila kujitokeza hadharani ili atulize kichwa kwanza, nani anawajibu wa kutoa taarifa ya wapi yupo? Tusiseme Serikali in general tuwe specific kuwa flani/taasis flani/wizara flani ndiyo wana wajibu wa kutuambia Mh Nchimbi yuko wapi. Tukiwachekea hawa...
Acha kuandika vitu ambavyo havipo, au umeishiwa point? Nani umemsikia analalamika? Tone to tone tunachangia tu wala usiwe na wasiwasi wewe pambana na kujua bwanyenye wako yuko wapi. Ukicheza utakufa njaa labda uwahi haraka kuwa chawa wa mtu mwingine.
Kususia uchaguzi lilikuwa ni jambo sahihi kabisa, na mpaka sasa bado ni sahihi. Huwezi shiriki uchaguzi katika mazingira ambayo chama tawala ndiyo wanasimamia kila kitu. Huko ni kupoteza muda. Chaguzi zilizopita tulishuhudia Ccm wakijipa ushindi kila sehemu. Kuepuka huo ujinga ndiyo mwanzo wa No...
Hapo juu nilishakuambia kuwa kama itakuwepo basi mimi nitachangia. " Politics is dynamic in nature". Meaning na wewe unabadilika nayo. Akiondoka Nchimbi utafanya uchawa hata kwa Bashite.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.