Recent content by Allency

  1. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mapinduzi yalishafanyika, sasa mapinduzi ni ya maendeleo

    😂😂😂😂😂😂 Mwendo ni amani tu lakini ukisema haki wanakuona muhaini
  2. A

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Kobazi siku zote hawajielewi, wafuasi wa mudi ni empty set.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Mimi yanga, lakini matusi kama hayo hayatakiwi. Sisi ni wapinzani wa jagi, ila tuna heshimiana.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Mkuu mbona kama unawaweka kwenye target
  5. A

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Chadema ndiyo inafanya ulipwe buku7, acha kujitoa akili.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Sijasema umetaja Chadema, nimesema shusha uzi wa kuiponda Chadema ndiyo utalipwa. Wala sina makasiriko, nyuzi zako za kijing na za Lucas Mwashambwa huwa ni burudani sana kwangu. Shusha uzi gentleman
  7. A

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Hivi huwa unatumia nini kufikiri mwenzetu? Shushq thread ya kuiponda Chadema, hii comment tu hulipwi, am sure of this.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Mbona hamsemi maridhiano kati ya nani na nani na kuhusu nini? Kuna vyama viko tayari na ni vingi tu. Nendeni mkaridiane navyo
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Ushauri siyo mpaka. You can take it or leave it. Jukwaa huru siwezi kukuwekea mipaka.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Lucas kuna vitu vingine unavyoandika vinafanya hata wale wanaokuona wamaana(kama wapo lakoni) wakudharau. Itafika kipindi utaandika vitu vya maana lakini hakuna mtu atakaye soma kwa sababu tu mwandishi ni wewe. Ningekushauri jikite na mambo ya CCM na kububujikwa na machozi juu ya mama, mambo ya...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Wengi humu huwa tunakudharau lakini mimi huwa pia unanichekesha. Kwako Lucas 😂😂😂😂😂
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Hivi mbeya kuna nini mkuu? Kila nikienda huko lazima nipate changamoto za kishirikina. Kuna siku kidogo nirukwe kichaa nikiwa huko.
  13. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    You have nailed it down. Kuna mambo ya kiroho hapo.
  14. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Sasa hao 2% wanasema nyie endeleeni tu msihangaike na sisi.
  15. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Angalia anavyowaogopa hao 98% wake. Tukio lolote la kijamii jitokeze na kumtaja sa100,yale ya FA yatakuhusu
Back
Top Bottom