Japo huyu simkubali lakini jiwe hajawahi kuwa bora. Labda kwa watu wasiokuwa na ufahamu na kuitwa wanyonge. Ana mazuri kiasi lakini na yeye alikuwa na mabaya mengi
Kwani Iran wanasubiri mpaka wafanywe nini ili waziachie hizo missiles zao? Mpaka kiongozi mkuu kafyekwa kama kuku lakini wapo wapo tu eti wana silaha kali wamezificha chini ya ardhi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mshauri afanye hivyo nchi yake ofutike katika ramani ya dunia. Kiongozi wao mkuu kauliwa kama mbwa koko lakini mbona hawajachia hizo missiles kama wana huo uwezo. Wataka wafanywe nini ili waziachie?
Kwa upande wangu sioni kama kutakuwa na jipya kwa hii tume. Mfano ikitokea tume hii ikabaini makosa ya Serikali itafanya nini hatma yake?
Huku ni kupoteza pesa na muda tu kwani tume hii nayo haina uwezo wa kuiwajibisha Serikali
Basi huyo Ayatollah hakufaa kuwa kiongozi. Unajiachia tu ili usionekane mbinafsi mpaka unauliwa kizembe hivyo. Wayatoe sasa hayo makombora wayatumie. Unayaficha chini ya ardhi huku unakula kichapo,au anasubiri yazae yawe mengi ndiyo ayatumie? Ujinga ni kulala jaa kisa unajenga nyumba. Unaficha...
Sababu rangi zao zinawabeba, Wakenya sababu ni wakorofi hivyo tunatunishia misuli, Waganda sababu ni tunashindana kiuchumi. Wamelawi sababu ni masikini wanakuja kufanya kazi za hovyo hovyo na siyo wakorofi. Ukiwa masikini hakuna mtu wa kupoteza muda ku deal na wewe endapo tu siyo mkorofi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.