Sijasema umetaja Chadema, nimesema shusha uzi wa kuiponda Chadema ndiyo utalipwa. Wala sina makasiriko, nyuzi zako za kijing na za Lucas Mwashambwa huwa ni burudani sana kwangu. Shusha uzi gentleman
Lucas kuna vitu vingine unavyoandika vinafanya hata wale wanaokuona wamaana(kama wapo lakoni) wakudharau. Itafika kipindi utaandika vitu vya maana lakini hakuna mtu atakaye soma kwa sababu tu mwandishi ni wewe. Ningekushauri jikite na mambo ya CCM na kububujikwa na machozi juu ya mama, mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.