Recent content by Allency

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kiongozi yoyote kusoma Hotuba/Taarifa iliyo na makosa kidogo na Kiuandishi na kutojiridhisha nayo ni kutulazimisha tuamini ulivyo Juha (Mpumbavu) sana

    Jambo kubwa kama hilo linalogusa mme wa Rais wenu watu wanakosea jina la Hospitali alikofia. Hii inaonyesha jinsi gani they don't care.
  2. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Ina maana Mungu hajui tunataka achape mwendo kweli! Huyu hana impact kwani hakuwa na shida na yeyote
  3. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Huyo mzee sijawahi sikia jambo lake lolote liwe baya au zuri. R.I.P. Ila yule mtu napenda aendelee kupata majanga
  4. A

    JamiiForums Tanzania Vipi ICC kunaendeleaje? Ninawaonya wapinzani, hamtafanikiwa kuiharibu Tanzania kwa maslahi yenu.

    Huyo anaandika ili mkono uende kinywani na wala siyo punguani kama kama anavyoonekana. Ni njaa baba ni njaa
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Kwa sasa kama yeye mwenyewe kaamua kukaa kimya bila kujitokeza hadharani ili atulize kichwa kwanza, nani anawajibu wa kutoa taarifa ya wapi yupo? Tusiseme Serikali in general tuwe specific kuwa flani/taasis flani/wizara flani ndiyo wana wajibu wa kutuambia Mh Nchimbi yuko wapi. Tukiwachekea hawa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Zaidi ya Wanachama 113 wa CHAUMMA watimkia CUF. CHAUMMA imekwisha 🤣

    CHAUMMA ,CAFU na ACT hakuna vyama hapo.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Kama ni mwenzenu sidhani kamq ni kosa nyie kwenda kwake nq kumuuliza kuliko mwana jumuiya mwenzetu. Ama ni mwenzenu lakini hamruhusiwi kufika kwake?
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Hivi kwani Nchimbi hana familia au marafiki wa kufika kwake na kumuulizia badala ya kupiga simu. Yaani hakuna anayepajua kwake!
  9. A

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Baadhi ya vingozi, matendo na kauli zao zinapelekea Wananchi kuona lazima tupate katiba mpya

    Huyu si ndiye aliwahi kusema mungu amwombe msamaa Jiwe
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Video: Je, ingekuwa wewe ndo abiria wa hili basi ungechukua uamuzi gani?

    Weka namba ya gari na safari inayofanya. Haya ndiyo mambo ya kufatilia sasa
  11. A

    JamiiForums Tanzania Huenda tone tone mpya ya CHADEMA ikaanza tena rasmi mwanzoni mwa mwezi October 2026.

    Acha kuandika vitu ambavyo havipo, au umeishiwa point? Nani umemsikia analalamika? Tone to tone tunachangia tu wala usiwe na wasiwasi wewe pambana na kujua bwanyenye wako yuko wapi. Ukicheza utakufa njaa labda uwahi haraka kuwa chawa wa mtu mwingine.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Huenda tone tone mpya ya CHADEMA ikaanza tena rasmi mwanzoni mwa mwezi October 2026.

    Kususia uchaguzi lilikuwa ni jambo sahihi kabisa, na mpaka sasa bado ni sahihi. Huwezi shiriki uchaguzi katika mazingira ambayo chama tawala ndiyo wanasimamia kila kitu. Huko ni kupoteza muda. Chaguzi zilizopita tulishuhudia Ccm wakijipa ushindi kila sehemu. Kuepuka huo ujinga ndiyo mwanzo wa No...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Huenda tone tone mpya ya CHADEMA ikaanza tena rasmi mwanzoni mwa mwezi October 2026.

    Hapo juu nilishakuambia kuwa kama itakuwepo basi mimi nitachangia. " Politics is dynamic in nature". Meaning na wewe unabadilika nayo. Akiondoka Nchimbi utafanya uchawa hata kwa Bashite.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Huenda tone tone mpya ya CHADEMA ikaanza tena rasmi mwanzoni mwa mwezi October 2026.

    Yaani nikufungulie uzi kabisa kukuuliza Nchimbi yuko wapi? That's madness. Pole sana kwa hili najua hukulitegemea. Jifunze sasa kuwa kazi ya uchawa siyo ya kuamini sana. Pesa za uchawa kwa Nchimbi nani atakuwa anakupa sasa?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Kumbe akili zenyewe ndiyo hizi,basi kazi kweli kweli.
Back
Top Bottom