Mimi bado nashangaa, naona harrier hybrid yangu inakamua hadi 8km/L mjini na sijui kwanini wakati battery inaonekana ziko sawa. Naomba ushauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo siyo hali zetu. Siwezi kupata uwezo wa kuagiza gari ya zaidi ya $10000 afu nikashindwa kuagiza spare ya $2000. Dunia ameishakuwa kijiji, tunanuna online, cash kupitia makampuni kama Beforward nk.Gari nyingi moya zikitoka mafundi wa nchi utukatisha tamaa eti hazifa lkn mwisho wake uja kuwa...
Ukweli ni kwamba hybrid cars ni gari bora zaidi na tunapoelekea miaka michache ijayo hizi ndizo gari zitakazotawala soko la dunia. Mfano, mwaka ujao Toyota watayoa Landcruiser V8 hybrid.
Mafundi wetu wa Tanzania wanapashwa kubadilika, wajifunze kuendana na Tecnolojia kuliko kuipinga kwa...
Nilidha 2015 iliacha fundisho kuwa mafuriko yanaweza kuzuilika kwa mikono kumbe bado. Pia nilidhani kilichotokea Afrika Kusini nayo ilikuwa fundisho kwa upinzani kumbe nayo bado. INASKITISHA SANA AKILI KUTIWA GIZA KIASI HIKI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.