Recent content by Allen Theonest

  1. Allen Theonest

    Unatengeneza tatizo na unalitatua halafu unataka tukushangilie!!

    Achana na Mange, jibu hoja ya mleta mada
  2. Allen Theonest

    BAD NEWS: Mwandishi Finnigan Simbeye wa The Guardian aokotwa akiwa hajitambui, amepigwa vibaya jijini Dar

    Halafu akaenda kumtupa bunju..??? Mtu ambaye anagombaniwa na serikali kila kona saivi???? Nikiikubali hiyo ripoti ya "weledi" kama ulivoiita nikapimwe akili
  3. Allen Theonest

    Msitarajie Man City kumfunga Man Utd

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  4. Allen Theonest

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Hiyo siyo justification kwa blunder inayofanywa na serikali yako!!
  5. Allen Theonest

    Upinzani andikeni barua upinzani ufutwe

    Naunga mkono hoja, hakuna maana yoyote ya kuwepo upinzani Tz kwa uhalisia uliopo kwa sasa bongo. Inaonekana wazi kuna juhudi za makusudi nyuma ya pazia kufrustrate upinzani ili wafreeze. Sioni mantiki ya kuingia kwenye ndondi wakati boxer mmoja amefungwa mikono na miguu, wakati boxer mwingine...
  6. Allen Theonest

    Freeman Mbowe: Zamani tuliona nchi hii ina udikteta uchwara, ila sasa ina udikteta kamili

    Serikali yako imewasaidia nini?? Kwani hao mahabusu ni wapinzani??? Kama watu kama kina Mbowe hawakupelekwa mahakamani kwa kisingizio cha gari ni bovu vipi wale wengine huko ndani?? Kila taasisi ime paralyse sababu mkulu anadhibiti kila kitu halafu unamlaumu Lissu!!! Pathetic!!!
  7. Allen Theonest

    Askofu Fredrick Shoo: Wale wote wanaojaribu kupotosha ukweli wa waraka wa Maaskofu kwa kuupaka matope ni wajinga

    Kama sadaka zimepungua, so what???? Ati mafisadi walikuwa wanatoa sadaka, hao mafisadi walikuwa wanaletwa kanisani na maaskofu??? Ni mafisadi wangapi wamefikishwa kwenye ile mahakama yenu???? Kumbe Jiwe naye ni mpiga kelele tu kama wengine wote, amejaa hukumu dhidi ya watu wake, mahakama si...
Back
Top Bottom