Halafu akaenda kumtupa bunju..???
Mtu ambaye anagombaniwa na serikali kila kona saivi????
Nikiikubali hiyo ripoti ya "weledi" kama ulivoiita nikapimwe akili
Naunga mkono hoja, hakuna maana yoyote ya kuwepo upinzani Tz kwa uhalisia uliopo kwa sasa bongo. Inaonekana wazi kuna juhudi za makusudi nyuma ya pazia kufrustrate upinzani ili wafreeze.
Sioni mantiki ya kuingia kwenye ndondi wakati boxer mmoja amefungwa mikono na miguu, wakati boxer mwingine...
Serikali yako imewasaidia nini?? Kwani hao mahabusu ni wapinzani??? Kama watu kama kina Mbowe hawakupelekwa mahakamani kwa kisingizio cha gari ni bovu vipi wale wengine huko ndani?? Kila taasisi ime paralyse sababu mkulu anadhibiti kila kitu halafu unamlaumu Lissu!!!
Pathetic!!!
Kama sadaka zimepungua, so what???? Ati mafisadi walikuwa wanatoa sadaka, hao mafisadi walikuwa wanaletwa kanisani na maaskofu??? Ni mafisadi wangapi wamefikishwa kwenye ile mahakama yenu???? Kumbe Jiwe naye ni mpiga kelele tu kama wengine wote, amejaa hukumu dhidi ya watu wake, mahakama si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.