Recent content by Allan Pontian

  1. Allan Pontian

    Ndege gani Cheap (Dar -Cape Town)?

    Unataka kwenda kupumzika au unataka kwenda kuongeza maumivu?
  2. Allan Pontian

    Kijana na Maisha, uchumi kama kileta furaha

    Wanasema tu. Sio mm Mzee mwenzangu. Hata ivyo Mimi siamini hivyo
  3. Allan Pontian

    Kijana na Maisha, uchumi kama kileta furaha

    Ni kweri kabsa lkn Kuna watu wametfta mpaka wamechoka hao unawazungumziaje? Inasemekana hawana nyota nk. je mtu hyu anawezaje kuishi kwa furaha?
  4. Allan Pontian

    Kijana na Maisha, uchumi kama kileta furaha

    Ndugu zangu Wana jukwaa hili. Nategemea kutoa andiko kwa vijana. Kutokana na uzoefu wako naomba unisaidie kujibu haya maswali yangu. 1. Ni jinsi gani kijana anatakiwa aishi ili kuwa na furaha bila uchumi/kipato? 2. Ni jinsi gani kijana anatakiwa kutafuta uchumi/kipato ili aishi kwa furaha...
  5. Allan Pontian

    Wiki mpya na utambulisho mpya

    Asante Sana nimefrahi Kuna maarifa mengi
  6. Allan Pontian

    Wiki mpya na utambulisho mpya

    Hodii hapa. Kalbu ninaipenda, zaidi kutoka kwenu Kwa kupenda, yetu yawe yenu Hodi hodi hapa, mlango nifunguliwe. Be blessed
  7. Allan Pontian

    Kutoka kuwa Mwenyekiti wa Kanda hadi kuwa DC ni anguko la Aibu kuu

    Mwanasiasa akikwambia usiku mwema, kabla ya kulala nenda kahakikishe kama ni usiku(Giza) Utanishukuru badae.
  8. Allan Pontian

    Jirani yangu amepata stroke familia inaamini ni jini hii ni siku ya tano yuko ndani haongei hawampeleki hospital.

    Si ajabu jamii yyte kuwa hivyo. Pole kwa changamoto hiyo naamini Mungu atakuwa na wewe, lkn Mimi nakushauri kama Kuna kiongozi wa kiroho mwambie ili akusaidie kushawishi pia au kama unauwezo mchukie tu hospital. Kbl ya siku hazijawa nyingi ttzo likaongezeka.
  9. Allan Pontian

    Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

    Lbd mikoa mingne hawana bando
  10. Allan Pontian

    Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

    Niliwai kusema siku Moja kuwa: lugha ya kiswahili kwa mswahili ni nyepesi sana, kutunga na kuvunja sentensi ni jambo la dakika, Kusifia na kukosoa lugha hii huwa ni kawaida lkn kusifiwa husambaa zaidi. Lugha inaweza kuwa chanzo Cha kupata au kukosa, kwa wepesi wa kiswahili machawa wataongezeka...
  11. Allan Pontian

    JF Chat: All members chat

    Kbl hujachoka tuulize sisi kama tuko Tyr kukutftia sehem sahihi
  12. Allan Pontian

    Luhaga Mpina, kwanini umewaroga Watanzania?

    Moja ya kitu ambacho Tanzania kinatusumbua Bado ni woga kwa baadhi ya watu. Nimejalibu kusikiliza hatua kwa hatua suara hili nimeona Bado sana tunajikongoja kuelekea kule. Mtu mmoja anahojiana na bunge Zima yeye ana hoja wao Wana maneno. Sijapenda hii. Lkn acha kazi ienderee
Back
Top Bottom