Recent content by ALLAMU

  1. A

    CHADEMA yagota sasa yavamia hoja ya Dodoma City

    Yale maandamano yaliyoshindwa bila ubishi yalikuwa ni ya mbowe kudai demokrasia nchini tz inaminywa. Kwa hiyo Dada Mange akaingilia kutafuta njia ya kumsaidia mbowe na cdm yake na Ukawa kwa ujumla kupitia maandamano haramu ambayo watz wameyakataa katakata. Eti Magufuli step down! Nani ?!!!
  2. A

    CHADEMA yagota sasa yavamia hoja ya Dodoma City

    Magufuli anawaendesha kwelikweli . Wameanza kumsahau hata bwana yule.
  3. A

    Katibu wa BAWACHA Kata ya Kisutu, Elizabeth Mambosho amekamatwa na polisi akiwa na mtoto wake wa wiki 2

    Polisi shida yao simu. Kwa nini wasipewe? Iko tumboni mwa nani ?!
  4. A

    Nilipokua Hospital nilikutana na mtihani mzito

    Haa haha ha hee heeeee! Ulijifunza kuombea mtu hapohapo mungu amponye, basi usiache zoezi hilo maana ni jema mbele za watu na mbele ya mungu.
  5. A

    UPDATE: Abdul Nondo ahamishiwa Iringa kimyakimya, afikishwa Mahakama ya Wilaya. Anyimwa dhamana...

    Mara akikutwa hana hatia utasikia mahakama imetenda haki. Akienda na maji utasikia hizi ni mahakama za ccm. Watu hawa ni vigeu geu sana!
  6. A

    Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Mutungi awalima barua CHADEMA kwa kufanya maandamano Februari 16, 2018

    Chadema ni chama cha wahuni kimejaa wahuni kinapenda kufanya mambo ya kihuni kinapelekea mauaji ya kihuni.
  7. A

    Makambako, Njombe: Mwandishi ashikiliwa na Kikosi Kazi cha TANESCO. Akabidhiwa Polisi na kuachiwa kwa dhamana...

    Heko kikosi kazi cha Tanesco kwa kutambua wajibu wenu maana ulinzi wa mali zenu ni wenu wenyewe. Kamata jizi peleka polisi na mahakamani toa ushahidi.
  8. A

    CHADEMA Tuliwauliza, Je Kuna nini kimebadilika mpaka Mmeamua Kushiriki Chaguzi Ndogo?

    Chadema hakina washauri wenye hekima wote walifukuzwa. Waliobaki ni vijana wa "Ndiyo kamanda ".
  9. A

    CHADEMA wazungumza na Wanahabari kuhusu Mwanafunzi aliyeuawa na jinsi Mbowe anavyotafutwa na Polisi

    Maandamano yale yalikuwa haramu ni kufa na kupona. Mbowe aliwambia mkutano ule mapema. Kuna kufa na kupona ktk maandamano yoyote haramu. Ndiyo maana yale ya Raila Odinga yalihalalishwa kwanza ndipo amani ikatawala. La sivyo, mngesikia vilio.
  10. A

    Chadema mbioni kujitoa uchaguzi jimbo la Kinondoni

    Hali ni mbaya kwa chadema kila mahali nchini siyo kinondoni tu. Kinafuata nyayo za watangulizi akina UMD enzi zile, akina NCCR M, akina TLP, akina CUF bara na visiwani.
  11. A

    NEC: Mwisho kesho vyama vya siasa kupeleka majina ya mawakala

    Kairima ana makosa gani hapo enyi chadema?!!
  12. A

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Utajiri wa Kakobe ni wa porojo za jukwaani / madhabahuni tu. Amethibitika.
  13. A

    Beyond Ufipa, Lumumba Political Discourses

    Hongera kwa ujumbe huu ndg Azizi Mussa. Wa Ufipa sidhani km wanaweza kukuelewa. Maana wao wanadhani chama kutetea mafisadi pengine hela zile watakuja kugawiwa bure na rais aliyetokana na mafisadi. Kumbe sera hii ya awamu ya tano ya kauli mbiu ya hapa kazi inaweza kuleta matokeo chanya +...
  14. A

    Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

    Aah hiyo list ya CCM kali Kinondoni na Siha . Vipi list ya chadema wale jamaa takataka? Sugu, Lema, Mbowe fowadi. Katikati atakuwa Mnyika, Silinde, Mwakajoka, Msigwa. Haonga. Defence, Heche, Maalim Seif, Lowassa. Timu ccm itaibuka mshindi.
  15. A

    Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

    Mtulia atashinda uchaguzi kwa vile hakusema uongo hakuwadanganya wanaKinondoni. Alisema wazi kuwa kule Ukawa kumekuwa hovyo, hovyo sana. Bora awe chama moja na tingatinga. Kwa ajili ya maendeleo ya wananchi na siyo kila siku kuhangaika kutwa nzima na siasa za majitaka, takataka.
Back
Top Bottom