Zamani wazazi wengi walizaa watoto wengi hata 10+ kwani watoto walikuwa n LABOR FORCE
Lakin sasa watoto wanamahitaji mengi sana kiasi kwamba n kaz kuwatimizia ipasavyo na mishahara yetu ya WHITE COLOUR JOB
Kuna uswahili mwingi unaendelea nchini Tz lakin haya c makubaliano yetu mkuu kijiti hiki kimekuzidia kiachie
weNye uwezo nacho watakifikisha tunapotakiwa kwenda
jamani naomba msaada wa kuijua vizuri coz hii inayopatikana UDOM iitwayo BACHEROL OF EDUCATION MANAGEMENT AND ADMINSTRATION..Na unakuwa mtu gani katika elimu yaan utawala au pia utafundisha pia au inakuwaje
TAFADHALI MSAADA WAKUBWA
selikali hii inazngua sana lakini mheshimiwa Magufuli kumbuka ahadi zako pale Jangwani wakati ukifungua kampeni zako mwaka 2015
uliahidi mkopo kwa kila mwanafunzi wa Elimu ya juu sas a cjui ndo nin unafanya au ndo uahapata basi kila mtu atajua mwenyewe
INFACT UDOM NI CHUO AMBACHO NI KICHANGA LAKIN KWA SKU ZA USONI KINAENDA KUWA CHUO KIKIBWA SUALA LA UD AU MUHIMBILI KUWA NA RESEACH NYINGI NI SABAB NI VYUO VYA ZAMZN TANGU 1961 TOFAUTI NA UDOM CHUO CHENYE MIAKA TISA HADI SASA...........................
hapo nakushauri nenda kabadili vyuo uongeze vingine idad uinaonesha wenghi walioomba UDSM ndio wameambiwa wrudie nd2 round ...think twice dar ipo tu utakuja kufanya kazi c lazma
ussome
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.